Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #21
Nipatie.itakuwa vizuri zaidiUmekosa tukupe background yake from primary school
WrongNakataa alitakiwa awe kiongozi wa dini
Acha uvivu.Nipatie.itakuwa vizuri zaidi
Uvivu wa nini?Acha uvivu.
Try to get facts,acha kuwachafua watu ,nakupa friendly warning achana uongo.Uvivu wa nini?
Kuchafua watu tena? Upo sawa ?Try to get facts,acha kuwachafua watu ,nakupa friendly warning achana uongo.
Nafikiri upo insane!Try to get facts,acha kuwachafua watu ,nakupa friendly warning achana uongo.
Usichokoze mambo usioyajua.wewe unatafuta shari.Nafikiri upo insane!
Kama yapi?Usichokoze mambo usioyajua.
Imekuwa ugomvi?Usichokoze mambo usioyajua.wewe unatafuta shari.
Insane?Kuna kesho na kesho kutwa,umelewa wadhifa?Kama yapi?
Wadhifa gani?Insane?Kuna kesho na kesho kutwa,umelewa wadhifa?
Mimi nimechafua mtu? Kama haupo insane.uelewa wako ni mdogo sanaNafikiri upo insane!
Yeah right.Wrong perception
Wafanyakazi gani?Halafu hakuna wafanyakaz choka mbaya kama hawajamaa!
wanaopenda kuonea watu na kubambikizia kesiWafanyakazi gani?
Upo sawa. Mwisho wao huwa mbaya sanawanaopenda kuonea watu na kubambikizia kesi
Dhambi kubwa kuliko zote ni kuwa mwanaccm