Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Halafu wakaukumbatia na huo mzinga wa nyuki😀wamechokoza nyuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wakaukumbatia na huo mzinga wa nyuki😀wamechokoza nyuki.
Na bado; Kazi iendelee.Nakupata mkuu. Kinacho nishangaza ni kwamba, kila myahudi anapoua kamanda wa hamas au hezbollah au huko iran utasikia kauli ngumu kwamba "Israeli lazima italipa gharama" sasa kabla gharama haijalipwa anauliwa mwingine, tena mwingine.
Aisee Bwana Benjamin Netanyahuu huwa hacheki na kima
Ni kweli kwamba ni kawaida sana lakini lazima pia ujiulize mbona Myahudi katika hili anawachambua (Identify and selective killings) na kulamba vichwa vya viongozi tuu?? Je, Haiwezi kuwa huo ni Mkakati maalum?Ajali kazini. Hii kwenye uwanja wa mapambano mbona kawaida sana
Jamaa anachukiwa na Wapalestina wa bongo si mchezo.Aisee Bwana Benjamin Netanyahuu huwa hacheki na kima
Wajinga ndio waliwao. Huyo kiongozi wa Hamas ana utajiri wa Zaidi ya dollar billion 4 anakula maisha tu QatarMagaidi bwana utakuta viongozi wao wapo nchini zingine wanakula bata wakizungukwa na warembo Dubai wakiwaaminisha wapumbavu wajitoe muhanga bikira zao watazikutia ahera.
Ukitaka kumuua nyoka mpige kichwani. Ndio kitu myahudi anatoa funzo Kwa magaidiNi kweli kwamba ni kawaida sana lakini lazima pia ujiulize mbona Myahudi katika hili anawachambua (Identify and selective killings) na kulamba vichwa vya viongozi tuu?? Je, Haiwezi kuwa huo ni Mkakati maalum?
Halipo kundi la kigaidi linalotetea dini wapiganaji wa chin huwa hawajui malengo ya kundi zaidi ya kuitikia Allah Akbar.Wajinga ndio waliwao. Huyo kiongozi wa Hamas ana utajiri wa Zaidi ya dollar billion 4 anakula maisha tu Qatar
Yeah! Wapiganaji wa chini wao wanachojua ni kuimba na kuitika " Taqbirrr - Allahu akbar"Halipo kundi la kigaidi linalotetea dini wapiganaji wa chin huwa hawajui malengo ya kundi
Hamas wa Geita wanasemaje kwani?Nakupata mkuu. Kinacho nishangaza ni kwamba, kila myahudi anapoua kamanda wa hamas au hezbollah au huko iran utasikia kauli ngumu kwamba "Israeli lazima italipa gharama" sasa kabla gharama haijalipwa anauliwa mwingine, tena mwingine.
Washaisha kabaki bibi yao faizafoxy tu na hana bikra yoyote.Sasa mabikra c wataisha huko kwa allah
Hao Hauth wanapigana pekupeku na hawana hata uhakika wa mlo mmoja kwa siku eti ndio wapigane na Wamerekani na waisrael.Hawa wakuitwa makamanda wa Hizbollah/Houth ukiwaona sasa yaani hawafanani kabisa na hadhi ya majina wanayopewa.
Yule Kiongozi wao Bora awe ananyamaza maana akiitisha press na kuapa kwamba watalipiza kisasi ndio kwanza watu wake wanadunguliwa mmoja baada ya mwingine
Go go IDF jeshi Bora duniani.
Inashangaza sana mkuuHao Hauth wanapigana pekupeku na hawana hata uhakika wa mlo mmoja kwa siku eti ndio wapigane na Wamerekani na waisrael.
kwan vita hii ni hamas pekee ndo wanapigana ? ushasahau Hizbolah wanasambulia Israel , wayaudi wana akili sana wanaanza walemaza hao hizbolah muda ukifika watatinga huko Lebanon na washatoa onyo kwa serikali ya Lebanon kuwadhibiti Hizbollah la sivyo wayaudi watatinga huko , Houth wajipange pia bomu linasukwa piaNgoja kwanza hamas ishafutwa au ndio mnajificha huku [emoji3]
Wajue kwamba wembe wa Myahudi makali yapo pale pale wasijisahau eti Myahudi atachoka. Waapi! Hakuna hiyo. 😁kwan vita hii ni hamas pekee ndo wanapigana ? ushasahau Hizbolah wanasambulia Israel , wayaudi wana akili sana wanaanza walemaza hao hizbolah muda ukifika watatinga huko Lebanon na washatoa onyo kwa serikali ya Lebanon kuwadhibiti Hizbollah la sivyo wayaudi watatinga huko , Houth wajipange pia bomu linasukwa pia