Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Excel' utakuwa unatamani huu uzi ufutwe' sema ndo vile tu huna jinsi!
Mods muondoleeni huu uzi huyu mkuu' mwenyewe hautaki uzi wake..
Ha ha ha nimecheka hadi machozi loh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Excel' utakuwa unatamani huu uzi ufutwe' sema ndo vile tu huna jinsi!
Mods muondoleeni huu uzi huyu mkuu' mwenyewe hautaki uzi wake..
Excel' utakuwa unatamani huu uzi ufutwe' sema ndo vile tu huna jinsi!
Mods muondoleeni huu uzi huyu mkuu' mwenyewe hautaki uzi wake..
Unaongelea kutoa support wakati wimbo wenyewe hujaununua umeuload bure
Umeisikilizia mkito hau?coz mkito nenda kasome kanuni zao.ni lazima waplay matangazo then ndo husikilize nyimbo ni njia ya kulipa wasanii kupitia free play sponsored na wanamatangazo.
Excel' utakuwa unatamani huu uzi ufutwe' sema ndo vile tu huna jinsi!
Mods muondoleeni huu uzi huyu mkuu' mwenyewe hautaki uzi wake..
MAISHA NI KUJIPANGA............WEKA AKIBA NA M-PAWA......
VODACOM, KAZI NI KWAKO !!!!
Mkuu Pasco, Mikito ndio utaratibu wao huo kwa free downloads!!! Sio kwenye nyimbo ya kiba tu, zote zinazopatikana katika mtandao huo!!!
Waliopita wameandika vizuri!
Pole kwa dhoruba la majibu makali... Najua umeteleza tu na next time hutorudia makosa!
...........................................................................................................................................
Appetizer!
Mali ni nyingi nyumbani, kipi kimekukimbiza
Ona babiyo mamiyo wote wanakulilia...........
mtoto peke yako nyumbani, kipi kilokukimbiza
Ona babiyo mamiyo wote wanakulilia...........
NDANI YA DAR EES SALAAM ULIKUJA BURE
TENA KIMWANA HUJUI KUCHUNA...............................
BHAAAAAAAAAAASSSSSSSSSSS!!!!!!
Excel' utakuwa unatamani huu uzi ufutwe' sema ndo vile tu huna jinsi!
Mods muondoleeni huu uzi huyu mkuu' mwenyewe hautaki uzi wake..
Umeisikilizia mkito hau?coz mkito nenda kasome kanuni zao.ni lazima waplay matangazo then ndo husikilize nyimbo ni njia ya kulipa wasanii kupitia free play sponsored na wanamatangazo.
Uvivu wa kufkr ndlo tatz lako.
acha uvivu kabla ya kupost fanya utafiti...umepata wimbo wa bure ndiyo maana kuna tangazo, lipia huko mkito.com alafu uone kama utasikia habari za Mpawa!!
Ahahahahahaaaaaaa mleta uzi kala kona mbaya atakuwa keshafika tandale
mimi si Pasco mkuu, huyo amenitaja kwa bahati mbaya tu..
Guys thanks for nice answers.. you are all welcomed.
So alikiba amelipwa kwa hilo tangazo?