ALI K ulikosa pesa ya kuingia studio? Kwanini hukulisema hili mapema mkuu?

Umeisikilizia mkito hau?coz mkito nenda kasome kanuni zao.ni lazima waplay matangazo then ndo husikilize nyimbo ni njia ya kulipa wasanii kupitia free play sponsored na wanamatangazo.

yaaani huyo haliewi kitu yeyote anatoka povuu tu, mambo yamebadilika na hyo ndo mkito bana... Wanasheria zao hao
 
Mtowa uzi ni kilaza kapitiliza anawe akawa kilanja wao
 
Umepakua wa bure huo usimsingizie alikosa hela ya studio, ule unaouzwa hauna jingle za voda
 
Atakuwa Alikuwa Na Njaa Wakati Anaandika Sio Kosa Lake..
 
Excel' utakuwa unatamani huu uzi ufutwe' sema ndo vile tu huna jinsi!

Mods muondoleeni huu uzi huyu mkuu' mwenyewe hautaki uzi wake..

daaaaaaah mbavu zangu mieeeeeeeee, jf idumu milele
 

Kwani Excel ndiyo Pasco?
 
Last edited by a moderator:
Excel' utakuwa unatamani huu uzi ufutwe' sema ndo vile tu huna jinsi!

Mods muondoleeni huu uzi huyu mkuu' mwenyewe hautaki uzi wake..

Ahahahahahaaaaaaa mleta uzi kala kona mbaya atakuwa keshafika tandale
 
Umeisikilizia mkito hau?coz mkito nenda kasome kanuni zao.ni lazima waplay matangazo then ndo husikilize nyimbo ni njia ya kulipa wasanii kupitia free play sponsored na wanamatangazo.

mkuu nimefuatilia hiyo case aisee..

by the way, hii process imeanza lini?
 
We mwana wewe mwana, mwana jeuri sana...

ulichikufata hukupata, umekosa ulivyoacha...

Oyayee omamee...


I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.
 
Hahaaa mkuu ilo songi la Alikiba, Mtafute msikilize tafadhaliiiiiii


I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…