Ali Kamwe: Ahmed Ally anachonganisha wachezaji na mashabiki

Ali Kamwe: Ahmed Ally anachonganisha wachezaji na mashabiki

Nini kinapelekea kila aliyefanikiwa tunadhani ni shoga?

Na ni kwanini watu wawaze hivyo?

Majibu ni mafupi na yanaeleweka
[emoji116]

1.Wengi wamefanyiwa vitendo hivi haramu kwenye makuzi yao iwe kupenda au kulazimishwa.

2.Kuzaliwa kwenye umasikini wa kutupwa na kushindwa kujikomboa, hili limepelekea wengi kudhani mtu akipewa au kuzawadiwa kitu fulani basi ni shoga.
Tena hili limewaathiri Sana hata wanawake. Leo hii ukimpa msichana laki mbili ya pamoja wakati kazoea kupewa elfu ishirini basi hana cha kukutunuku zaidi ya kukupa........

3.Kushindwa kufikia malengo kwenye maisha,(kutoboa)
Hii inapelekea kuona Kila aliyefanikiwa basi ni............

Ushauri

Vijana mjitafute, kaeni kwenye angle za kutambulika , fanyeni kazi kwa bidii, jengeni majina yenu. pesa haitafutwi bali ina mitego yake.

Siku ukizawadiwa kitu cha million mbili litakuwa jambo la kawaida
 
Unaweza kusoma kati kati ya maandishi komenti za watu wa Simba unaelewa Kwa hakika maneno ya kamwe yameingia sawa sawa kumoyo. Hawajapenda na kumtukana tu Ali...
Kabisa [emoji23]
 
Nini kinapelekea kila aliyefanikiwa tunadhani ni shoga?

Na ni kwanini watu wawaze hivyo?

Majibu ni mafupi na yanaeleweka
[emoji116]

1.Wengi wamefanyiwa vitendo hivi haramu kwenye makuzi yao iwe kupenda au kulazimishwa.

2.Kuzaliwa kwenye umasikini wa kutupwa na kushindwa kujikomboa, hili limepelekea wengi kudhani mtu akipewa au kuzawadiwa kitu fulani basi ni shoga.
Tena hili limewaathiri Sana hata wanawake. Leo hii ukimpa msichana laki mbili ya pamoja wakati kazoea kupewa elfu ishirini basi hana cha kukutunuku zaidi ya kukupa........

3.Kushindwa kufikia malengo kwenye maisha,(kutoboa)
Hii inapelekea kuona Kila aliyefanikiwa basi ni............

Ushauri

Vijana mjitafute, kaeni kwenye angle za kutambulika , fanyeni kazi kwa bidii, jengeni majina yenu. pesa haitafutwi bali ina mitego yake.

Siku ukizawadiwa kitu cha million mbili litakuwa jambo la kawaida
Utu unazidi kuporomoka
 
Nini kinapelekea kila aliyefanikiwa tunadhani ni shoga?

Na ni kwanini watu wawaze hivyo?

Majibu ni mafupi na yanaeleweka
[emoji116]

1.Wengi wamefanyiwa vitendo hivi haramu kwenye makuzi yao iwe kupenda au kulazimishwa.

2.Kuzaliwa kwenye umasikini wa kutupwa na kushindwa kujikomboa, hili limepelekea wengi kudhani mtu akipewa au kuzawadiwa kitu fulani basi ni shoga.
Tena hili limewaathiri Sana hata wanawake. Leo hii ukimpa msichana laki mbili ya pamoja wakati kazoea kupewa elfu ishirini basi hana cha kukutunuku zaidi ya kukupa........

3.Kushindwa kufikia malengo kwenye maisha,(kutoboa)
Hii inapelekea kuona Kila aliyefanikiwa basi ni............

Ushauri

Vijana mjitafute, kaeni kwenye angle za kutambulika , fanyeni kazi kwa bidii, jengeni majina yenu. pesa haitafutwi bali ina mitego yake.

Siku ukizawadiwa kitu cha million mbili litakuwa jambo la kawaida
Ni sahihi. Alafu mengi wengi wanaofanya hivi ni humu JF kwa kuwa wanatumia fake ID. Sidhani kama wangekuwa wanatumia majina yao halisi wangekuwa wana comment huo upuuzi. Labda kwa kuwa natumia mitandao miwili tu ya kijamii JF na FB ila kule FB sionagi huu upuuzi kama wa JF.
 
Nini kinapelekea kila aliyefanikiwa tunadhani ni shoga?

Na ni kwanini watu wawaze hivyo?

Majibu ni mafupi na yanaeleweka
[emoji116]

1.Wengi wamefanyiwa vitendo hivi haramu kwenye makuzi yao iwe kupenda au kulazimishwa.

2.Kuzaliwa kwenye umasikini wa kutupwa na kushindwa kujikomboa, hili limepelekea wengi kudhani mtu akipewa au kuzawadiwa kitu fulani basi ni shoga.
Tena hili limewaathiri Sana hata wanawake. Leo hii ukimpa msichana laki mbili ya pamoja wakati kazoea kupewa elfu ishirini basi hana cha kukutunuku zaidi ya kukupa........

3.Kushindwa kufikia malengo kwenye maisha,(kutoboa)
Hii inapelekea kuona Kila aliyefanikiwa basi ni............

Ushauri

Vijana mjitafute, kaeni kwenye angle za kutambulika , fanyeni kazi kwa bidii, jengeni majina yenu. pesa haitafutwi bali ina mitego yake.

Siku ukizawadiwa kitu cha million mbili litakuwa jambo la kawaida
Umesema ukweli
Yan huwa nashangaa
Hivi mtu boss kama GSM au Mo Dewj kumpa mtu zawadi ya simu ya million 3 hadi afanye huo uchafu
Sasa kwa GSM million 3 ni kitu gani?
Yan boss kumpa mfanya kazi wake zawadi ya simu basi Ali Kamwe ashakuwa shoga

Vijana wabadilishe huu mtazamo
Tupambane tupate vya kwetu
 
USHAURI WA ALLY KAMWE KWA AHMED ALLY.

Shida ni kwamba .. Timu inaposhinda Msemaji unajimilikisha ushindi huo. Unatamba nao na kujipa kila aina ya majina kuonyesha kwamba Wewe ni KILA KITU kwenye Ushindi.

Lakini timu inapopata matokeo mabaya, Unajitenga nayo. Unaanza kutupa lawama hadharani kwa wachezaji kuwa hawana Ubora na Uchu wa kuipa Timu mafanikio.. Huku ni KUKOSA HESHIMA.

Ni Ubinafsi na unaonyesha ni kwa kiasi gani Msemaji upo kwa ajili ya kulijenga jina lako na sio kuijenga Taasisi yako. Na hii ni mbaya pindi Interest binafsi zinapotangulia kuliko Interest za Taasisi.

Jambo moja ambalo inatupasa tuelewe, Nyakati nzuri na mbaya ni kwa ajili ya wote. Hakuna mchezaji anayekwenda uwanjani ili apoteze mchezo.

Kuwazodoa na kuwasema hadharani wachezaji wako ni kutaka kuwachonganisha na mashabiki. Ni ishara pia ya kutoheshimu kazi yao.

Na hata inapobidi, wachezaji wakatakiwa kusemwa, mwenye jukumu hilo ni Mkuu wa Benchi la Ufundi, Sio msemaji wa Timu.

Makocha wamekaa Darasani na wakafundishwa jinsi ya kuishi na kuwaelekeza wachezaji. Tuache wafanye kazi yao.

Kuwa Msemaji haimaanishi Wewe Unajua kila kitu. Haimaanishi una nguvu na uwezo wa kukosoa wapambanaji wako Public. Tujue mipaka yetu.

Kesho na keshokutwa wachezaji wakianza kutukanwa mitandaoni na kupigwa mawe na mashabiki barabarani, Tutaanza kusema kuwa tuna mashabiki wapuuzi.. Kumbe ‘Upuuzi’ tunaujenga kwa vinywa vyetu wenyewe..

Huwezi kuonekana Smart kwa kukosoa na kuwasema wachezaji hadharani .. ili kufurahisha kikundi cha watu wachache..

Hii ni mbaya sana, utamalizana na wachezaji kisha kesho utawakosoa viongozi wenzako na kisha utahamia kwa mashabiki.. Mwisho wake huwa mbaya sana.

Tubadilike .. Kinachotupa Umaarufu na majina makubwa mjini ni TIMU sio Vinywa vyetu .. Tujifunze kuheshimu na kuwalinda wachezaji wetu.

Mwenyekiti wa Wasemaji Hapa ..
Ally Kamwe [emoji1593]

#FutbalPlanetUpdatesView attachment 2851509
Sasa huyu nyuma mwiko nyuma anajitambua kweli?
 
Ukishakuwa yanga tu,ni kama unakuwa umeingia mkataba na UTAAHIRA.KWA KIFUPI HAKUNA UTOPOLO ANA AKILI DUNIANI..LAZIMA ATAKUWA ANA SHIDA KIDOGO KICHWANI SIJUI KWANINI??
 
Back
Top Bottom