DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kweli haikuwa rahisi kuchomoa mwiko uliokaa nyuma kwa muda mrefu vile. Dah!Azam wamechomoa mwiko mmoja nyuma
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Amesikika akishindwa Kumalizia Sentensi na Kuishia Neno Hatu baada ya Kipigo kizito kutoka kwa Azam..
View: https://x.com/Roma_Mkatoliki/status/1852758396245799166
Amesikika akishindwa Kumalizia Sentensi na Kuishia Neno Hatu baada ya Kipigo kizito kutoka kwa Azam..
View: https://x.com/Roma_Mkatoliki/status/1852758396245799166
Kudadadadeq !Amesikika akishindwa Kumalizia Sentensi na Kuishia Neno Hatu baada ya Kipigo kizito kutoka kwa Azam..
View: https://x.com/Roma_Mkatoliki/status/1852758396245799166
π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Akili za wapenzi ya simba ni sawa na za panzi.nimeamini yanga ni chama kubwa na inatisha sana.mechi ya jana yanga nacheza na zaidi ya timu mbili.walioshinda wako kimya lkn mikia kiherehere juu.Tunda Man Nyimbo -Yanga Hii Unaifungaje
Nyoo Leo Imefungwaje π€£πππ€£π€£π€£
View attachment 3141858
Mumesahau juzi mlivyolowa baada ya goli la Mukwala.Afungwe mashujaa msiba kwa nyumamwiko.Akili za wapenzi ya simba ni sawa na za panzi.nimeamini yanga ni chama kubwa na inatisha sana.mechi ya jana yanga nacheza na zaidi ya timu mbili.walioshinda wako kimya lkn mikia kiherehere juu.