Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Watu hawaoni Kwa man city pale eplSijui watanzania huwa tunataka nn hv yanga akishinda kila siku amuoni kwamba ligi inapoteza mvuto ifike atua mpaka mechi ya mwisho ya ligi bigwa awe hajulikana. Mm ni yanga tena lialia ila sijahumia natamani simba ikaze zaidi na azam waongeze juhuudi ili tuendelee kwenda bar na vibanda umiza kuangalia mpira. Sio raound ya kwanza inaisha eti anayeongoza ligi kamzidi wa nyuma yake point 12.