Ali Kamwe, Haji Manara, Injinia Hersi na wana Yanga SC mlisema hamtawaiga Simba SC. Je, hiki mtakachofanya kesho siyo Kuwaiga?

Kwani umesahau kuwa pale wenye akili ni wawili
 
Wameiga au hawajaiga kwangu naona ni approach sahihi kuelekea kwenye match waongeze TU kutoa elimu ya upatikanaji wa tiketi
 
mbona una mawenge Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…