Ali Kamwe: Kocha wa APR anatakiwa kuomba msamaha hadharani

Huyu huenda amejiunga na machawa anatafuta uteuzi. Stupid!
 
Haya ni maoni ya Kolo kabla halijabebwa Kwa mbeleko.
 
Haya ni maoni ya Kolo kabla halijabebwa Kwa mbeleko.
Yapo matukio ambayo ni ya kweli na mimi nayakubali bila kutanguliza ushabiki

Ila kwa mechi ya leo sijaona hoja yeyote yenye mashiko zaidi ya malalamiko ya kihisia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…