Ali Kamwe: Kocha wa APR anatakiwa kuomba msamaha hadharani

Ali Kamwe: Kocha wa APR anatakiwa kuomba msamaha hadharani

Aache upuuzi!, Kma mashindano yana heshima yake hiyo heshima ilipaswa ianze kuoneshwa kwa kuheshimu jasho la kila timu na sio kutengeza matokeo kwa timu wazipendazo.

APR waombwe msamaha kwakupotezewa muda na kudhulumia haki yao yakucheza fainal.
Makosa ya kibinadamu mkuu....mbona nao walipewa Goli
 
Kocha wa APR aombe radhi

"Mapinduzi Cup ni Tournament Maalum yenye heshima kubwa hapa Afrika Mashariki na Kati.. Timu nyingi kubwa, Wachezaji wengi wakubwa wameshiriki.

Tunapaswa kuyalinda, kuyaheshimu kwa nguvu zetu zote.. Hata mtu anapotaka kuyaongelea ni Lazima ayaongelee kwa Nidhamu.. Isionekana mtu anakuja kushiriki kama 'msaada' tu kwa wenye mashindano.. Hii sio sawa Kabisa.

Mistake za waamuzi kwenye Football zinatokea mpaka World Cup.. Hata ujio wa VAR bado kuna makosa mengi ya waamuzi yametokea.

Inakuaje mtu mwenye Taaluma ya Ukocha anayakosea Heshima mashindano ya Mapinduzi kirahisi tu kwa sababu ya Waamuzi?

Video hapo juu (Ipo kwenye ukurasa wa Ally Kamwe Instagram) Timu yake ya APR ilipewa BAO LA MCHONGO dhidi ya JKU kutoka ZANZIBAR mbona hakusema Hatushiriki Tena kwa sababu Waamuzi wanatupendelea?

Wakikosea Waamuzi kwa wengine Meno yote Nje na kujiona bonge la Kocha.. Wanashangilia mpaka wanavua Nguo uwanjani.. Wakikosea wengine Mnasusa??

Sasa Kwa Tukio la Jana na Hilo hapo la mechi ya JKU Lipi lina upendeleo wa wazi kabisa??? Nafikiri Kocha wa APR anatakiwa KUOMBA MSAHAMA HADHARANI kwa kauli yake.

Mwenyekiti wa Wasemaji Afrika Ally Kamwe." Ameandika Kamwe.View attachment 2867535

Ila hawa wasemaji jaman
Nini kimewakuta. Sio Ahmed wala wala huyu , walivyokuwakwa TV ya Azam those days walikuwa walionekana vijana smart Wenye weledi; now days ni Kama kuhamia kwenye vilabu hivo wamekuwa zero brain na waropokaji

Sijajua nini kimewakuta

Kuna Ahmed ally nae dah Ali kuwa very smart gan kwenye tasnia ya habari, alikuwa anavutia kusikilizwa, now days dah
Sasa najiuliza akitoka SSC yeye ni mwandishi wa habari. Anavo ruin reputation yake
Ataenda kufanya kaz wap Tena
 
Mimi ni YANGA ila huyu ALI KAMWE sijui ni kigezo gani walitumia kumpa kazi, yeye ni msemaji wa yanga, kauli yoyote aitoayo public sio yake ni ya yanga, gngejikita kwenye madai ya APR juu ya uonevu waliofanyiwa kama ni halali au sio halali kwa hoja, kama ni error angeelezea kwanini waamuzi walikataa goli, anakua mbinafsi hajui kuwa mashindano hayajaisha inaweza ikatokea timu nyingine ikalalamika tena.
 
Yaani waombe msamaha kwa sababu ya ubovu wa waamuzi kwenye mashindano ya bonanza...aisee!!
 
Mimi ni YANGA ila huyu ALI KAMWE sijui ni kigezo gani walitumia kumpa kazi, yeye ni msemaji wa yanga, kauli yoyote aitoayo public sio yake ni ya yanga, gngejikita kwenye madai ya APR juu ya uonevu waliofanyiwa kama ni halali au sio halali kwa hoja, kama ni error angeelezea kwanini waamuzi walikataa goli, anakua mbinafsi hajui kuwa mashindano hayajaisha inaweza ikatokea timu nyingine ikalalamika tena.

Sio Ali kamwe peke yake. Hata Ahmed wa Simba SC , ni mropokaji na hawajui mipaka ya kazi yao .

Ndio maana vijana wa Africa kuwaamini kama viongoz ni bado

Kuna kipindi Ahmed ally aliropoka kuhusu players kutojituma uwanjan, the following day Ali kamwe akamvamia kuwa hakupaswa kuongelea wachezaji wa SSC vile; sasa I was asking my self yeye ilimuhusu nini maana hakuzungumzia wachezAji wa Yanga .


Wakaanza kubishana instagram dah

Ni watu wazima vijana hawa.

Nadhan kuna haja ya taasisi zao kuwapeleka mafunzo na kuwapa line ya responsibility zao

Ni hatar
 
Kocha wa APR aombe radhi

"Mapinduzi Cup ni Tournament Maalum yenye heshima kubwa hapa Afrika Mashariki na Kati.. Timu nyingi kubwa, Wachezaji wengi wakubwa wameshiriki.

Tunapaswa kuyalinda, kuyaheshimu kwa nguvu zetu zote.. Hata mtu anapotaka kuyaongelea ni Lazima ayaongelee kwa Nidhamu.. Isionekana mtu anakuja kushiriki kama 'msaada' tu kwa wenye mashindano.. Hii sio sawa Kabisa.

Mistake za waamuzi kwenye Football zinatokea mpaka World Cup.. Hata ujio wa VAR bado kuna makosa mengi ya waamuzi yametokea.

Inakuaje mtu mwenye Taaluma ya Ukocha anayakosea Heshima mashindano ya Mapinduzi kirahisi tu kwa sababu ya Waamuzi?

Video hapo juu (Ipo kwenye ukurasa wa Ally Kamwe Instagram) Timu yake ya APR ilipewa BAO LA MCHONGO dhidi ya JKU kutoka ZANZIBAR mbona hakusema Hatushiriki Tena kwa sababu Waamuzi wanatupendelea?

Wakikosea Waamuzi kwa wengine Meno yote Nje na kujiona bonge la Kocha.. Wanashangilia mpaka wanavua Nguo uwanjani.. Wakikosea wengine Mnasusa??

Sasa Kwa Tukio la Jana na Hilo hapo la mechi ya JKU Lipi lina upendeleo wa wazi kabisa??? Nafikiri Kocha wa APR anatakiwa KUOMBA MSAHAMA HADHARANI kwa kauli yake.

Mwenyekiti wa Wasemaji Afrika Ally Kamwe." Ameandika Kamwe.View attachment 2867535
Pamoja na kuongezwa dakika 7 na nyingine 11 lakini wa-pi!
 
Ila hawa wasemaji jaman
Nini kimewakuta. Sio Ahmed wala wala huyu , walivyokuwakwa TV ya Azam those days walikuwa walionekana vijana smart Wenye weledi; now days ni Kama kuhamia kwenye vilabu hivo wamekuwa zero brain na waropokaji

Sijajua nini kimewakuta

Kuna Ahmed ally nae dah Ali kuwa very smart gan kwenye tasnia ya habari, alikuwa anavutia kusikilizwa, now days dah
Sasa najiuliza akitoka SSC yeye ni mwandishi wa habari. Anavo ruin reputation yake
Ataenda kufanya kaz wap Tena
Mazingira ndio humshape mtu
 
Ni kweli APR walifanyiwa dhuluma.. Kwemye hasira lolote unasema hata kina arteta huko huwa wanaropoka.

Kama ni kuomba radhi, aanze yeye kumuomba radhi mwamuzi TATU MALOGO.
3 malogo alizingua zaidi[emoji23]
 
Makosa ya kibinadamu mkuu....mbona nao walipewa Goli
Mwambie Ali kamwe aje awatetee na waamzi wa mechi ya leo!!. Apunguze midomo sio msemaji wa kila Jambo ......
 
Waamuzi wa leo wamekosea nini au ndo hujui mpira?
Ukipata muda punguza mihemko rudia kuangalia mpira.... Sijibishana na wenye vipere vya mihemko! Nina facts una opinion ko hatuwezi kuelewana
 
Back
Top Bottom