Ali Kamwe: Manara ni mfitini, alinifitini kwa mashabiki

Ali Kamwe: Manara ni mfitini, alinifitini kwa mashabiki

Ukiangalia komenti unaona kabisa watz wengi kichwani zero .. mtu badala ajadili content anaanza personal attack.
 
Ukiangalia komenti unaona kabisa watz wengi kichwani zero .. mtu badala ajadili content anaanza personal attack.
Watanzania hatuna akili bro. Hili mimi nilishahitimisha kitambo sana. Hii ina reflect katika nyanja zote za maisha. Iwe siasa, iwe uchumi,iwe nini. Mara chache sana kuwakuta wanajadili jambo kwa usirias.
 
FULL INTERVIEW ya Ally Kamwe akiongelea matatizo yake na Haji Manara na membo mengine ipo kwenye YOUTUBE ya Valor TV @valortv_

Nenda kamsikilize huko utapata meeengi mazuri ya kujifunza kuhusu hawa Binadamu "VYAWA" na wengine wema.

Hii ndiyo kwanini tunawaambia huyu WHITE ni shida kwenye mpira, ana matatizo mengi ambayo yanafichwa na huruma kwa hali yake ya kimaumbile na kwakuwa yuko kwenye kundi maalumu.

Ukimsikiliza Ally Kamwe anavyoongea kwa hisia na kukupa Mikasa alopitia kwa WHITE utajua anavyopenda kuhamisha mada, kuwaita watu wana chuki, kumbe yeye kinara.
Mungu fundi sana, kidogo kidogo ukweli unaanza kufahamika. Bin Kazumari anaichukia Yanga ndo maana hampendi WHITE, haya na Ally Kamwe nae vipi? Huyu ni tatizo, Ally Kamwe amefika hatua anasema ZUNGU anajiona kama Malaika. Jinga kabisaaaa.

My Take
Huyu mtu sio wa kumchekea, ni threat iwe kwa Yanga au Simba, iwe Azam au Singida BS
Uzwazwa mbaya sana,kuishi bila kumwamini Mungu ni kuishi kishetani. Wewe unamwamini Ally kamwe100%,je ulishamsikiliza Haji akijibu hiyo hoja ya Ally au kujitetea?
CHUKI YAWEZA KUUA MWENYEWE
 
Kinyago mkichonge wenyewe! Halafu ghafla tu kimeanza kuwatisha.

Pambaneni wenu huko huko na huyo Manara wenu.
Hapana mkuu hapa siongelei mambo ya simba na yanga hapa tunaongelea suala la ali kamwe ameongea kwa uchungu sana manara ni mfitini sana yeye akitukana watu anaona sawa ila akitukanwa yaye analalamika sasa hivi ana mtukana jemedari vitu personal ila anawatukana kina mo na babra hakuna anayewajibu ila akiguswa tu analia.
 
Watanzania hatuna akili bro. Hili mimi nilishahitimisha kitambo sana. Hii ina reflect katika nyanja zote za maisha. Iwe siasa, iwe uchumi,iwe nini. Mara chache sana kuwakuta wanajadili jambo kwa usirias.
Wewe ndio huna akili hio interview haukua na contents nyingine toutauti na mambo yao binafsi ambayo unataka tujadili?
 
Hapana mkuu hapa siongelei mambo ya simba na yanga hapa tunaongelea suala la ali kamwe ameongea kwa uchungu sana manara ni mfitini sana yeye akitukana watu anaona sawa ila akitukanwa yaye analalamika sasa hivi ana mtukana jemedari vitu personal ila anawatukana kina mo na babra hakuna anayewajibu ila akiguswa tu analia.
Sawa Haji ni mfitini sisi tufanyeje? tumuue?
 
Hapana mkuu hapa siongelei mambo ya simba na yanga hapa tunaongelea suala la ali kamwe ameongea kwa uchungu sana manara ni mfitini sana yeye akitukana watu anaona sawa ila akitukanwa yaye analalamika sasa hivi ana mtukana jemedari vitu personal ila anawatukana kina mo na babra hakuna anayewajibu ila akiguswa tu analia.
Labda uongee wewe
 
Hapana mkuu hapa siongelei mambo ya simba na yanga hapa tunaongelea suala la ali kamwe ameongea kwa uchungu sana manara ni mfitini sana yeye akitukana watu anaona sawa ila akitukanwa yaye analalamika sasa hivi ana mtukana jemedari vitu personal ila anawatukana kina mo na babra hakuna anayewajibu ila akiguswa tu analia.
Bado ukweli utabaki palepale! Nyinyi mashabiki wa simba na viongozi wenu mna mchango mkubwa wa kumfanya Manara kuwa mtu wa aina hii aliyo nayo sasa.
Hivyo haisaidii chochote mnapo lalamika sasa.

Wakati ule anaikejeli na kuitukana Yanga na viongozi wake, mlishangilia na kufurahi kweli! Hata pale alipotoa matamshi mabaya dhidi ya baadhi ya waandishi wa habari mfano yule mdada wa Clouds TV, bado mlishangilia!


Ila baada ya kuhama upande wenu, na kuendeleza tabia zake zile zile! Mnajifanya kuguswa!! Thats why mnatakiwa kupambana na hali zenu.
 
Kinara huyu hapa kafika. Poor you
Wewe na Manara mna tabia za kif*la mkichukiana nyie unataka utushirikishe na sisi hii story umeleta humu ili tukuonee huruma au tumchuchie Manara? Logic yako hasa ni ipi? na wewe jamaa ni mnafiki sana kipindi Haji yupo huko kwenu ulikua una mpamba leo unakuja kijiliza hapa nyoko nyoko
 
Ali kamwe mpaka anafika pale alipo sasa kwenye masuala ya mpira shukrani zake lazima ziende kwa tff ya sasa kwa maana ya karia, kidau na oscar(TD), yeye pamoja na j.s.kazumari ni mazao ya tff ya sasa kwenye masuala ya uchambuzi wa mpira, maana tff ya sasa ndio wanaowatambua. Hivyo kinachotokea hivi sasa ni kwamba sababu, tff hawawezi kurudisha tuhuma zinazotolewa na manara moja kwa moja hivyo wanawatumia watu wao...so mchezo hupo hivi Yanga(manara) against tff( jemedar said& ali kamwe)
 
Back
Top Bottom