Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Kuwe na jukwaa la wanawake tu ili mada kama hizi zipelekewe huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods wameitoaUngeweka hiyo video ingependeza sana
Ally Kamwe ni makolo sikujua ,kumbe Wana mtu na nusuMAKOLO nyamaza, mzungumzieni msemaji wenu
Ali anatafuta huruma kwa mashabikiBaada ya hapa, toa maoni yako kuhusu malalamiko ya Ali
Watanzania hatuna akili bro. Hili mimi nilishahitimisha kitambo sana. Hii ina reflect katika nyanja zote za maisha. Iwe siasa, iwe uchumi,iwe nini. Mara chache sana kuwakuta wanajadili jambo kwa usirias.Ukiangalia komenti unaona kabisa watz wengi kichwani zero .. mtu badala ajadili content anaanza personal attack.
Uzwazwa mbaya sana,kuishi bila kumwamini Mungu ni kuishi kishetani. Wewe unamwamini Ally kamwe100%,je ulishamsikiliza Haji akijibu hiyo hoja ya Ally au kujitetea?FULL INTERVIEW ya Ally Kamwe akiongelea matatizo yake na Haji Manara na membo mengine ipo kwenye YOUTUBE ya Valor TV @valortv_
Nenda kamsikilize huko utapata meeengi mazuri ya kujifunza kuhusu hawa Binadamu "VYAWA" na wengine wema.
Hii ndiyo kwanini tunawaambia huyu WHITE ni shida kwenye mpira, ana matatizo mengi ambayo yanafichwa na huruma kwa hali yake ya kimaumbile na kwakuwa yuko kwenye kundi maalumu.
Ukimsikiliza Ally Kamwe anavyoongea kwa hisia na kukupa Mikasa alopitia kwa WHITE utajua anavyopenda kuhamisha mada, kuwaita watu wana chuki, kumbe yeye kinara.
Mungu fundi sana, kidogo kidogo ukweli unaanza kufahamika. Bin Kazumari anaichukia Yanga ndo maana hampendi WHITE, haya na Ally Kamwe nae vipi? Huyu ni tatizo, Ally Kamwe amefika hatua anasema ZUNGU anajiona kama Malaika. Jinga kabisaaaa.
My Take
Huyu mtu sio wa kumchekea, ni threat iwe kwa Yanga au Simba, iwe Azam au Singida BS
Kinyago mkichonge wenyewe! Halafu ghafla tu kimeanza kuwatisha.Mwisho wa manara utakuwa mbaya kushinda wa makonda na sabaya.
Inajulikana wenye akili pale ni babake Haji na Mzee Jk pekee!...wengine wote hamnazo.Manara anaikera tu simba sisi wana yanga tunapenda sana makolo wanavyoteseka
Alisikika uto mmoja kutoka chorwe
Hapana mkuu hapa siongelei mambo ya simba na yanga hapa tunaongelea suala la ali kamwe ameongea kwa uchungu sana manara ni mfitini sana yeye akitukana watu anaona sawa ila akitukanwa yaye analalamika sasa hivi ana mtukana jemedari vitu personal ila anawatukana kina mo na babra hakuna anayewajibu ila akiguswa tu analia.Kinyago mkichonge wenyewe! Halafu ghafla tu kimeanza kuwatisha.
Pambaneni wenu huko huko na huyo Manara wenu.
Wewe ndio huna akili hio interview haukua na contents nyingine toutauti na mambo yao binafsi ambayo unataka tujadili?Watanzania hatuna akili bro. Hili mimi nilishahitimisha kitambo sana. Hii ina reflect katika nyanja zote za maisha. Iwe siasa, iwe uchumi,iwe nini. Mara chache sana kuwakuta wanajadili jambo kwa usirias.
Sawa Haji ni mfitini sisi tufanyeje? tumuue?Hapana mkuu hapa siongelei mambo ya simba na yanga hapa tunaongelea suala la ali kamwe ameongea kwa uchungu sana manara ni mfitini sana yeye akitukana watu anaona sawa ila akitukanwa yaye analalamika sasa hivi ana mtukana jemedari vitu personal ila anawatukana kina mo na babra hakuna anayewajibu ila akiguswa tu analia.
Kinara huyu hapa kafika. Poor youWewe ndio huna akili hio interview haukua na contents nyingine toutauti na mambo yao binafsi ambayo unataka tujadili?
Labda uongee weweHapana mkuu hapa siongelei mambo ya simba na yanga hapa tunaongelea suala la ali kamwe ameongea kwa uchungu sana manara ni mfitini sana yeye akitukana watu anaona sawa ila akitukanwa yaye analalamika sasa hivi ana mtukana jemedari vitu personal ila anawatukana kina mo na babra hakuna anayewajibu ila akiguswa tu analia.
Bado ukweli utabaki palepale! Nyinyi mashabiki wa simba na viongozi wenu mna mchango mkubwa wa kumfanya Manara kuwa mtu wa aina hii aliyo nayo sasa.Hapana mkuu hapa siongelei mambo ya simba na yanga hapa tunaongelea suala la ali kamwe ameongea kwa uchungu sana manara ni mfitini sana yeye akitukana watu anaona sawa ila akitukanwa yaye analalamika sasa hivi ana mtukana jemedari vitu personal ila anawatukana kina mo na babra hakuna anayewajibu ila akiguswa tu analia.
Wewe na Manara mna tabia za kif*la mkichukiana nyie unataka utushirikishe na sisi hii story umeleta humu ili tukuonee huruma au tumchuchie Manara? Logic yako hasa ni ipi? na wewe jamaa ni mnafiki sana kipindi Haji yupo huko kwenu ulikua una mpamba leo unakuja kijiliza hapa nyoko nyokoKinara huyu hapa kafika. Poor you