Ali Kamwe: Manara ni mfitini, alinifitini kwa mashabiki

Ali Kamwe: Manara ni mfitini, alinifitini kwa mashabiki

Ali kamwe mpaka anafika pale alipo sasa kwenye masuala ya mpira shukrani zake lazima ziende kwa tff ya sasa kwa maana ya karia, kidau na oscar(TD), yeye pamoja na j.s.kazumari ni mazao ya tff ya sasa kwenye masuala ya uchambuzi wa mpira, maana tff ya sasa ndio wanaowatambua. Hivyo kinachotokea hivi sasa ni kwamba sababu, tff hawawezi kurudisha tuhuma zinazotolewa na manara moja kwa moja hivyo wanawatumia watu wao...so mchezo hupo hivi Yanga(manara) against tff( jemedar said& ali kamwe)
Kwa mfano Ali Kamwe anatumikaje? Kuanzisha kampeni ya kumpongeza Mpole? Bora Jemedari na chambuzi zake ngumu (ambazo ni kwa timu zote)
 
Kwa mfano Ali Kamwe anatumikaje? Kuanzisha kampeni ya kumpongeza Mpole? Bora Jemedari na chambuzi zake ngumu (ambazo ni kwa timu zote)
Kwann manara ni mnafiki leo..na sio juzi....yani ni sawa na wale wanaohoji bil 20 za mo pale simba....pale tu matokeo ya simba yanapokua mabaya....nadhani unanielewa. Mtu makini uhoji vitu pale tu vinapotokea na yeye anapokua au anapoona mashaka. Kwann kauli hizi za ali kamwe zinakuja leo ambapo mgogoro wa manara na tff ni mkubwa zaidi
 
FULL INTERVIEW ya Ally Kamwe akiongelea matatizo yake na Haji Manara na membo mengine ipo kwenye YOUTUBE ya Valor TV @valortv_

Nenda kamsikilize huko utapata meeengi mazuri ya kujifunza kuhusu hawa Binadamu "VYAWA" na wengine wema.

Hii ndiyo kwanini tunawaambia huyu WHITE ni shida kwenye mpira, ana matatizo mengi ambayo yanafichwa na huruma kwa hali yake ya kimaumbile na kwakuwa yuko kwenye kundi maalumu.

Ukimsikiliza Ally Kamwe anavyoongea kwa hisia na kukupa Mikasa alopitia kwa WHITE utajua anavyopenda kuhamisha mada, kuwaita watu wana chuki, kumbe yeye kinara.
Mungu fundi sana, kidogo kidogo ukweli unaanza kufahamika. Bin Kazumari anaichukia Yanga ndo maana hampendi WHITE, haya na Ally Kamwe nae vipi? Huyu ni tatizo, Ally Kamwe amefika hatua anasema ZUNGU anajiona kama Malaika. Jinga kabisaaaa.

My Take
Huyu mtu sio wa kumchekea, ni threat iwe kwa Yanga au Simba, iwe Azam au Singida BS
Manara ni Tatizo ipo siku viongozi wangu wa Yanga watakuja ngamua hilo soon
 
Kwann manara ni mnafiki leo..na sio juzi....yani ni sawa na wale wanaohoji bil 20 za mo pale simba....pale tu matokeo ya simba yanapokua mabaya....nadhani unanielewa. Mtu makini uhoji vitu pale tu vinapotokea na yeye anapokua au anapoona mashaka. Kwann kauli hizi za ali kamwe zinakuja leo ambapo mgogoro wa manara na tff ni mkubwa zaidi
hii ishu imekuja baada ya yeye kuulizwa na juma ayo (mtangazaji) kwenye intrrview ya valor tv hakukurupuka tu na kutoa hizo shutuma
ukifatilia idadi ya watu waliowahi kusigana na Manara utagundua huyo jamaa ana shida kubwa sana
 
hii ishu imekuja baada ya yeye kuulizwa na juma ayo (mtangazaji) kwenye intrrview ya valor tv hakukurupuka tu na kutoa hizo shutuma
ukifatilia idadi ya watu waliowahi kusigana na Manara utagundua huyo jamaa ana shida kubwa sana
Mimi simtetei manara...ila ninacho hoji kwann sasa hivi na si juzi..? Sijui unanielewa hapo.
 
Sawa Haji ni mfitini sisi tufanyeje? tumuue?
Hapana siku atajichanganya kwenye 18 za watoto wa mjini kama alivyojichanganya kwa majaliwa na waziri wa michezo domo lake si halina break basi mwisho wake utakuwa wenye masikitiko na utakuwa mbaya sana.
 
Bado ukweli utabaki palepale! Nyinyi mashabiki wa simba na viongozi wenu mna mchango mkubwa wa kumfanya Manara kuwa mtu wa aina hii aliyo nayo sasa.
Hivyo haisaidii chochote mnapo lalamika sasa.

Wakati ule anaikejeli na kuitukana Yanga na viongozi wake, mlishangilia na kufurahi kweli! Hata pale alipotoa matamshi mabaya dhidi ya baadhi ya waandishi wa habari mfano yule mdada wa Clouds TV, bado mlishangilia!

Ila baada ya kuhama upande wenu, na kuendeleza tabia zake zile zile! Mnajifanya kuguswa!! Thats why mnatakiwa kupambana na hali zenu.
Inategemea na viongozi jinsi wanavyomchukulia na ndio maana simba alivyokuja babra alimuondoa manara kwasababu aliona vitu anavyofanya na kuongea havisaidii chochote kwenye soka.
 
Back
Top Bottom