Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Ilikuwaje akabadilishana mate na picha ya maza?Ni yeyeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwaje akabadilishana mate na picha ya maza?Ni yeyeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwann Mkuu..mbna normal tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aibu naona mie, WoiiiiiihView attachment 3031966
Ndo hivyo mkuuKwamba shabiki wa mpira anahama timu na anapokelewa timu mpya?
Huwa wanahama wafanyakazi ambao ni wachezaji na waajirwa wengine ila kwa Tanzania mashabiki wanahama pia timu ni Kituko hii nchi.
Unakua shabiki wa timu ikifungwa unahama timu akihama mchezaji unahama naeee
Awahi milembeMASHABIKI WA SIMBA WAMFATA CHAMA YANGA
"Wengi wanauliza mpaka sasa tumenufaika vipi na utambulisho wa Chama. Mpaka sasa tumepokea taarifa za mashabiki wa upande wa pili ambao wamehamia Yanga akiwemo Baba Kamwe nae amemfuata Chama. Wote waliohama tunawaandalia siku maalumu ya kuwapokea" Ally Kamwe
Wengi watakuja
Ndi nkafu! Utwa mbombo?Uli mhola ahene.
Ushabiki wa hizi timu, ni kama KABILA. Utahama DINI, VYAMA VYA SIASA, lakini si KABILA! Hata BUGATI, kule UTOPOLONI anaigiza tu!Hivi kumbe ni rahisi kiasi hicho Shabiki wa Yanga kuhamia Simba kisa Saido Ntibanzokiza amehamia Simba kutokea Yanga?
Acheni Siasa za CCM na CDM kwenye Mpira.
Ushabiki wa hizi timu mbili ni zaidi ya Imani.
Kamwe usitarajie Mimi Shabiki wa Simba Sports club eti Siku Moja kunikuta nashabikia Yanga.
Hilo halipo.
Hata kama itatokea Simba imeshuka daraja, nitashuka nayo huko huko lakini sio kushabikia Yanga kisa imechukua Ubingwa [emoji123]
Umesema sahihi Mkuu, ni ngumu sana kuhamaUshabiki wa hizi timu, ni kama KABILA. Utahama DINI, VYAMA VYA SIASA, lakini si KABILA! Hata BUGATI, kule UTOPOLONI anaigiza tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilikuwaje akabadilishana mate na picha ya maza?
Etiii eeeh? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwann Mkuu..mbna normal tu