Ali Kamwe: Mashabiki wengi wa Simba wamfuata chama

Ali Kamwe: Mashabiki wengi wa Simba wamfuata chama

Hivi kumbe ni rahisi kiasi hicho Shabiki wa Yanga kuhamia Simba kisa Saido Ntibanzokiza amehamia Simba kutokea Yanga?

Acheni Siasa za CCM na CDM kwenye Mpira.

Ushabiki wa hizi timu mbili ni zaidi ya Imani.

Kamwe usitarajie Mimi Shabiki wa Simba Sports club eti Siku Moja kunikuta nashabikia Yanga.

Hilo halipo.

Hata kama itatokea Simba imeshuka daraja, nitashuka nayo huko huko lakini sio kushabikia Yanga kisa imechukua Ubingwa 💪
 
Kwamba shabiki wa mpira anahama timu na anapokelewa timu mpya?
Huwa wanahama wafanyakazi ambao ni wachezaji na waajirwa wengine ila kwa Tanzania mashabiki wanahama pia timu ni Kituko hii nchi.
Unakua shabiki wa timu ikifungwa unahama timu akihama mchezaji unahama naeee
Ndo hivyo mkuu
 
MASHABIKI WA SIMBA WAMFATA CHAMA YANGA

"Wengi wanauliza mpaka sasa tumenufaika vipi na utambulisho wa Chama. Mpaka sasa tumepokea taarifa za mashabiki wa upande wa pili ambao wamehamia Yanga akiwemo Baba Kamwe nae amemfuata Chama. Wote waliohama tunawaandalia siku maalumu ya kuwapokea" Ally Kamwe

Wengi watakuja
Awahi milembe
 
Kitendo cha kushindwa kuvumilia team uliyoipenda kwa kuwa haifanyi vizuri au mchezaji fulani basi wewe utakuwa sio shabiki maana kila siku utakuwa mtu wa kuhama hama
 
Kitendo cha kushindwa kuvumilia team uliyoipenda kwa kuwa haifanyi vizuri au mchezaji fulani basi wewe utakuwa sio shabiki maana kila siku utakuwa mtu wa kuhama hama
Njoo ule bata Kwa wananchi
 
Hivi kumbe ni rahisi kiasi hicho Shabiki wa Yanga kuhamia Simba kisa Saido Ntibanzokiza amehamia Simba kutokea Yanga?

Acheni Siasa za CCM na CDM kwenye Mpira.

Ushabiki wa hizi timu mbili ni zaidi ya Imani.

Kamwe usitarajie Mimi Shabiki wa Simba Sports club eti Siku Moja kunikuta nashabikia Yanga.

Hilo halipo.

Hata kama itatokea Simba imeshuka daraja, nitashuka nayo huko huko lakini sio kushabikia Yanga kisa imechukua Ubingwa [emoji123]
Ushabiki wa hizi timu, ni kama KABILA. Utahama DINI, VYAMA VYA SIASA, lakini si KABILA! Hata BUGATI, kule UTOPOLONI anaigiza tu!
 
Ushabiki wa hizi timu, ni kama KABILA. Utahama DINI, VYAMA VYA SIASA, lakini si KABILA! Hata BUGATI, kule UTOPOLONI anaigiza tu!
Umesema sahihi Mkuu, ni ngumu sana kuhama

Imagine nimeanza kushabikia Simba sports club nikiwa na miaka 7 nikiwa nimerithi Kwa Bi Mkubwa wangu aliyekuwa Shabiki Lia lia wa Simba, ndiyo ije niache Leo hii ?😜
 
Back
Top Bottom