Ali Kamwe: Mashabiki wengi wa Simba wamfuata chama

Ali Kamwe: Mashabiki wengi wa Simba wamfuata chama

MASHABIKI WA SIMBA WAMFATA CHAMA YANGA

"Wengi wanauliza mpaka sasa tumenufaika vipi na utambulisho wa Chama. Mpaka sasa tumepokea taarifa za mashabiki wa upande wa pili ambao wamehamia Yanga akiwemo Baba Kamwe nae amemfuata Chama. Wote waliohama tunawaandalia siku maalumu ya kuwapokea" Ally Kamwe

Wengi watakuja
Hakuna shabiki wa ukweli anahama timu hao ni misukule ya chama tu.
 
Back
Top Bottom