Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Kila La Kheri Dar Young Africans Kwa Ushindi Wa Goal Nyingi Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 Ntakua getini Sasa we uje umechovya chovya utarudi nyumbaniAcha ufala wewe mimi sio mdangaji 😂 😂
Bleach yangu ya kistaarabu hadi ofisini inaheshimika.
Bleach inategemea na umri pia lakini... kuna umri kupaka bleach sio.Hata kama mambo mengine ni kufanyana kama wote kweli hatuna akili. Sisi Yanga wenye akili katika hili hapana. Pakeni nyie. Hamasa si hii hata kidogo.
Wewe kolo tulia, kwani huko kwenu hamna hamasa kuelekea mechi yenu ya leo hadi udandie bleach zetu?
Na Elimu na Status.Bleach inategemea na umri pia lakini... kuna umri kupaka bleach sio.
Nyie mna akili sana. Minyanduo hata kwenye maandiko ya kidini ipo, mpira hamnana je sisi mashabiki wa mizagumuo?
Na vipi mashabiki wa upinzani kiwango chao cha upumbavu kipojeKuna mtu akisema juz kuwa ukiweka mbali washabiki wa ccm, wanafuata kwa upumbavu ni washabikibwa mpira.
Unaona hii sasa..
Nadhan Kiboko ya Jiwe ndio alileta hii hoja
Kolo haikuhusu hii,msalimie mgani rasmi 1-5Le General Defao style hapana [emoji1787][emoji1787]
Ni wivu tuuBleach ni uhuni tu, umetulia zako unashangaa mtu anakatiza ukiangalia kichwa kwa mbali unaweza kusema kabeba sahani ya pilau kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mna akili sana. Minyanduo hata kwenye maandiko ya kidini ipo, mpira hamna
Tumetukuka kabisaa mkuu, na kwa mujib wa Quran, akhera tunaandaliwa mabikra 70, bao 1 utamu unaenda saa zima, sio kama bao la duniani sekunde 2 tuahsante sana nimefarijika kwa kweli kùnbe sisi wala mbususu ni watu watukufu
Hawa si ndio wanaitwa manyumbu au? Sio mimi lakin niliesema hayaNa vipi mashabiki wa upinzani kiwango chao cha upumbavu kipoje
😂😂😂Tz banaWalikuwa na Kibu DAY wakala Mkono wa Nyani siku ile 5imba/11/2023
5G