Hakuna tunachomdai mkuuHana Cha kusema kuhusu Yanga maana imemkanda Rivers United kwao Huku bongo wanakuja kukamilisha ratiba tu.
Mudathir Yahya kiungo bora kwasasa nchini!
Mayele mfungaji Bora bara na Shirikisho!
NBC premier league kombe limeanza kuandikwa Dar Young Africans!
Mwakani tunarudi kibabe kombe la klabu bingwa Africa!
Ally Kamwe Aseme Nini kuhusu Yanga?
Tupe findings za research yakoNilichogundua Watanzania Waislamu ndiyo wanaziogopa hizi timu za Kiarabu kwa hiyo strategy ya timu zetu tunapocheza na nchi za Kaskazini iwe ni kutumia zaidi Wakristo hasa wachezaji. Ni sawa nchi iwe na mgogoro na Vatican halafu upeleke kiongozi au afisa wa serikali Mkatoliki, lazima atakuwa anatetemeka na atapata shida katika kusimamia maslahi ya nchi.
Hili nitakuja siku moja kulielezea zaidi kama nitakumbuka.
aah tangu wachomolewe moja Lupaso mi sina imani nao, mpira huwa una maajabu yake mzee, unashangaa Mtani anafunga moja ugenini..Kwamba wydadi ni wadhaifu???View attachment 2601867
Lakin kule mjini CAF timu zetu zinakiwashaMnaendekeza utani wenzenu wanajenga Viwanja.
Facilities..
Timu za Vijana.
Expertise nk......
ENDEKEZENI UTANI WA KISHAMBA HUO.
TUMEWAPA WAJINGA WATUONGOZE.
wakishinda nahama mji hizo kelele zake [emoji23][emoji23] tusubiri hio keshoNaweza FUTA account hapa jf ....kolo akishinda kesho [emoji23][emoji23]
Nitarudi muda mwingine kuliongelea hili ila kwa sasa chukua hicho nilichosema.Tupe findings za research yako
Wewe ushaolewaHuyu Ali Kamwe baada ya Dem wake Nasra kumpiga chini na kuolewa na Msomali amekua mjinga mjinga sana.
Huko Misri hali ipo kama hivi Tz, huko Morocco pia hali ipo hivyo hivyo.Ndiyo maana mamipira yenu hamfiki popote ishu kama hizo wenzenu wanasaidiana nyie ndiyo mnamalizana watu wakifungua threads humu kusema hii ngozi ina matatizo mnakuwa wakali.