Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Watoto mnaoishi katika mazingira magumu mna shida sana.Punguza utoto na uzwazwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto mnaoishi katika mazingira magumu mna shida sana.Punguza utoto na uzwazwa
Ndo hivyo mkuu....Yanga sio lege legeyanga wana force match fitness [emoji23][emoji23][emoji23] . amna issue
Wana utapiamlo[emoji23]Watoto mnaoishi katika mazingira magumu mna shida sana.
Soma tarehe,hata mwaka haujapita tangu "mdeke".Hata hivyo sio kosa lenu kwa sababu CAFCL nyie ni wageni na tayari mmeshafikia malengo yenu
Yanga tunajiamini , timu iwe kubwa au ndogo tunacheza nayo kama tunavyocheza na timu nyingine tu , Simba mkiacha woga na kuzikuza timu za waarabu mtafika nusu fainali .Huko CAF wameshaona maji ni marefu hawawezi Kuuvuka mto ndiyo Maana wameona wakomae na nbc pl .Wanaojua Maana halisi ya mashindano ya CAF na ugumu wake ngoja wadeke ila mwisho wa siku mtajua ni kwa nini waliomba mechi zao za nbc pl zisogezwe mbele
Nyie mmeshafikia malengo yenu ndio maana mmeshajitoa mashindanoni kwani CAFCL mara ya mwisho kufika makundi rais wenu alikuwa form oneYanga tunajiamini , timu iwe kubwa au ndogo tunacheza nayo kama tunavyocheza na timu nyingine tu , Simba mkiacha woga na kuzikuza timu za waarabu mtafika nusu fainali .
Ni kweli mkuu...but malengo ni kufika CAF champions finallySoma tarehe,hata mwaka haujapita tangu "mdeke".Hata hivyo sio kosa lenu kwa sababu CAFCL nyie ni wageni na tayari mmeshafikia malengo yenu
Kabisa mkuuYanga tunajiamini , timu iwe kubwa au ndogo tunacheza nayo kama tunavyocheza na timu nyingine tu , Simba mkiacha woga na kuzikuza timu za waarabu mtafika nusu fainali .
Ndo nani mkuuYani li mechi lenu ni ndani hapoo kwa mkapa..yani bila huyo mr slim kuongea utmbo siku haijaisha..