Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado YY tu. Lemba lilambe jivu.
All the best
Wazalendo wanatunukiwa tunu kwa kufanya kazi nzuri iliyotukuka zidi magaidi wa ki Israel.Kulikuwa kipigo kwenye vituo vya kijeshi na kijasusi:
View attachment 3116903
View attachment 3116902
Hayakuwa maeneo ya raia wala miundo mbinu.
Kulikuwa kipigo cha mbwa Koko!
Wewe utaishi milele? Si ufe kishujaa kuliko kufa kiboyaBado YY tu. Lemba lilambe jivu.
All the best
daah kiongozi kazingua sana kwanini anawachoresha makamanda wake muhimu kwa kuwaweka hadharani sasa washajulikana hivi na israel atawala kichwa mmoja mmoja..bora angewapa hizo nishani kimya kimya tu bila kuwaanika sura zao ndo kashawaponza hivyo
Ayatollah Khamenei ndio kiongozi wangu, amenifurahusha sana juzi kwa kichapo cha mbwa koko alichompa Israhell.
Tunahitaji viongozi 3 tu hapo middle East kama huyu ndio amani itapatikana.
Unaonesha umechukia sana.Bado YY tu. Lemba lilambe jivu.
All the best
Shaka yangu je hiyo furaha yao itadumuu ai itakuwa kama ya lebanoni na palestina?Kulikuwa kipigo kwenye vituo vya kijeshi na kijasusi:
View attachment 3116903
View attachment 3116902
Hayakuwa maeneo ya raia wala miundo mbinu.
Kilikuwa kipigo cha mbwa Koko!
Nyie muuzeni sura tu.Kulikuwa kipigo kwenye vituo vya kijeshi na kijasusi:
View attachment 3116903
View attachment 3116902
Hayakuwa maeneo ya raia wala miundo mbinu.
Kilikuwa kipigo cha mbwa Koko!
Hao makamanda wanatakiwa waje watoe mafunzo huku jwtz ili tuachane kutunuku nishati Kwa kujenga ukuta mererani na kubangua korosho