- Thread starter
- #21
Nyie muuzeni sura tu.
Kwani Ina maana inawauma sana Hadi Israel huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie muuzeni sura tu.
Wapi??Kwani Ina maana inawauma sana Hadi Israel huko?
Shaka yangu je hiyo furaha yao itadumuu ai itakuwa kama ya lebanoni na palestina?
Hili zimu tulisikie tuu ila hali kwa walengwa hasa wananchi wa kawaida ni mbaya mbaya kupita kawaida
Mashambulizi ya Iran yameleta madhara gani kwa Israel? Kama Israel bado inamtwangwa hamasa na Lebaboni
Tukiacha blah blah za udini , Israel ndio wanavuruga amani mashariki ya kati, biblia waandike wayahudi , waseme wao ni nchi ya ahadi ambayo hawakuwahi kuishi, halafu watake dunia iwaamini? Myahudi ni nani? Kila mzungu utaesikia anasema ni muyahudi whether anaongea kiyahudi au lah ni wale wazungu wanaohisi dunia ni yao na wamemiliki njia nyingi za mifumo ya kifedha dunia nzima
Inabidi ifikie hatua ukweli usemwe , kwa sababu daily news, fox news, cnn, bbc hautowasikia wakisema ukweli halisi juu ya ardhi ileWafuasi kindaki ndaki wa wajomba zake Mungu hawawezi kukuelewa
Kama chadema wanvyofura na kupasuka kusikia jina la ccmKuna watu watafura na kupasuka.
Inabidi ifikie hatua ukweli usemwe , kwa sababu daily news, fox news, cnn, bbc hautowasikia wakisema ukweli halisi juu ya ardhi ile
Kama chadema wanvyofura na kupasuka kusikia jina la ccm
Wapi??
Ndio nini??Isiraeli
Ndio nini??
🤣🤣🤣🤣Hilo lemba, ninyumba ya majini
Hivi wazayuni wangekuwa wanapeana medali namna hii wangekuwa nazo ngapi🤣🤣🤣🤣Kulikuwa kipigo kwenye vituo vya kijeshi na kijasusi:
View attachment 3116903
View attachment 3116902
Hayakuwa maeneo ya raia wala miundo mbinu.
Kilikuwa kipigo cha mbwa Koko!
Baadae ya muda, mbona wanajua wanawake na watoto?Wazalendo wanatunukiwa tunu kwa kufanya kazi nzuri iliyotukuka zidi magaidi wa ki Israel.
Ahsante Khamenei kwa kutambua kazi nzuri ya vijana wako.
Nimalizie tu kwa kusema "KITUNZE KIKUTUNZE"