Ali Khamenei agawa nishani kwa makamanda waliotoa kipigo cha mbwa koko

Ali Khamenei agawa nishani kwa makamanda waliotoa kipigo cha mbwa koko

Huyu mzee naona hakubali kufa peke yake, anaponza watu!

Mkuu kufa kila mtu hufa lwake.

Huyo mwamba yuko vizuri na ndiye mtu nyuma ya kipigo kule kitakatifu.

Hilo hata Bi nyau analijua.
 
Wazalendo wanatunukiwa tunu kwa kufanya kazi nzuri iliyotukuka zidi magaidi wa ki Israel.
Ahsante Khamenei kwa kutambua kazi nzuri ya vijana wako.

Nimalizie tu kwa kusema "KITUNZE KIKUTUNZE"
Ww mzalendo umefanya nn kwenye nchi yako....kazi kusifia tu yasiyokuhusu wakati hata huyo unaemsifia hajui hata jina lako kujipendekeza tu nyambaafu.
 
Hawa majangili wa Kiislamu kwa bahati mbaya wanaweka vituo vya kijeshi miongoni mwa makazi ya raia. Wameiga kwa jangili wao mkuu Mohammad

View: https://x.com/asli_nabi/status/1842859876646592800


Bahati mbaya huyu taifa kibaka ni joga mno ni kama lilishaumwa na nyoka, hata likiona unyasi linastuka:

IMG_20241007_043507.jpg


Kwake hadi ofisi na magari ya watoa misaada wa kimataifa wa UN huko, kwake ni "command center" za adui.
 
Huyo kamanda ajifiche Sana ama sivyo muda sio mwingi ataliwa kichwa na israel
 
Back
Top Bottom