Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wazayuni wangekuwa wanapeana medali namna hii wangekuwa nazo ngapi🤣🤣🤣🤣
akitoboa siku 7 zijazo sijui
Huyu mzee naona hakubali kufa peke yake, anaponza watu!Kulikuwa kipigo kwenye vituo vya kijeshi na kijasusi:
View attachment 3116903
View attachment 3116902
Hayakuwa maeneo ya raia wala miundo mbinu.
Kilikuwa kipigo cha mbwa Koko!
Huyu mzee naona hakubali kufa peke yake, anaponza watu!
US na Nato wameisha peleka ndege zao lakini wakumbuke Iran hizo ndege kabla hazijarudi kwenye base watufute pakwebda kutua sio walipo tokea.Naona Israel yupo kwa Marekani akiomba ruhusa apige Iran, Marekani akimkatalia ndiyo basi tena hana kitu
Mkwara wa mende kuangusha kabatiUS na Nato wameisha peleka ndege zao lakini wakumbuke Iran hizo ndege kabla hazijarudi kwenye base watufute pakwebda kutua sio walipo tokea.
Ww mzalendo umefanya nn kwenye nchi yako....kazi kusifia tu yasiyokuhusu wakati hata huyo unaemsifia hajui hata jina lako kujipendekeza tu nyambaafu.Wazalendo wanatunukiwa tunu kwa kufanya kazi nzuri iliyotukuka zidi magaidi wa ki Israel.
Ahsante Khamenei kwa kutambua kazi nzuri ya vijana wako.
Nimalizie tu kwa kusema "KITUNZE KIKUTUNZE"
Lebanon maeneo ambayo Hezbollah walijitengea wao yanawaka motoKulikuwa kipigo kwenye vituo vya kijeshi na kijasusi:
View attachment 3116903
View attachment 3116902
Hayakuwa maeneo ya raia wala miundo mbinu.
Kilikuwa kipigo cha mbwa Koko!
Lebanon maeneo ambayo Hezbollah walijitengea wao yanawaka moto
View: https://x.com/israelifihther/status/1842983774688047387
Hawa majangili wa Kiislamu kwa bahati mbaya wanaweka vituo vya kijeshi miongoni mwa makazi ya raia. Wameiga kwa jangili wao mkuu MohammadAngalizo:
"Vipigo vya mbwa koko hupigwa vituo vya kijeshi na kijasusi si makazi ya watu!"
Hawa majangili wa Kiislamu kwa bahati mbaya wanaweka vituo vya kijeshi miongoni mwa makazi ya raia. Wameiga kwa jangili wao mkuu Mohammad
View: https://x.com/asli_nabi/status/1842859876646592800