Nachokikubali kwa domo alikuwa akiwaangalia wakina Kiba na Wema nahisi akiwemo Jokate akijiuliza ee Mwenyezi Mungu ni lini nitakuwa kama hawa watu leo hii cheki yupo juu zaidi yao.
Funzo ni tupige kazi kwa bidii tukimuomba Mungu kwa juhudi zote bila kusahau kuwaheshimu wazazi, Mungu ni mwema , kuhusu ushirikina mimi sishauri