Ali Kiba ahujumiwa tuzo za Afrimma. siri yafichuka

Tumia research rahisi tu, angalia nyimbo za kiba zikipigwa kwenye matukio ya harusi hakuna anayezicheza, piga za diamond uone watu wanavyoacha viti na kuja kwenye dancing floor. Mashabiki ndo wanampndisha mtu na kujishusha na raha ya music ukubalike kw watu
 
Duh jamaa unajua kulalamika!!
 
No mater what, siku zooote shabiki huridhika na kombe tu
 
Muziki wa tz ni matatizo tu na kwa waelewa wa mambo ni ngumu kuufuatilia.
Kwa waliokuwepo enzi hizo wakati billicans inawika aliwahi kuja mchezesha muziki (dj) mmoja kutoka Ulaya, nadhani alifutailia kidogo kwenye media za nyakati hizo na kutafiti kidogo ndipo akajua nyimbo zilizokuwa kwenye chart Tanzania/Dsm nyakati hizo. Nakumbuka baadhi ya nyimbo zilikuwa kama Neema wa DDC Mlimani, MV mapenzi-sauda, chatu mkali-OSS nk. Alivyochangamsha ukumbi na manyimbo ya kwao akaona watu wamechangamka ndipo akaanza kuzipiga hizo 'locals' matokeo yake wakaacha kucheza na kusimama!
Nakumbusha haya ili kujua how complicated our minds and preferences are hata usiweze kutabiri kama tunachokishabikia ndicho kweli tunachokipenda. ...sijui kama ule utafiti uliofanyika karibuni wa 'watu wawili kati ya wanne' ulikuwa relevant nyakati hizo!
Tuendelee tu kuongra na kujifariji lakini bado muziki mzuri kama wa Yousur Ndur na Remmy haujasikika.
 
Mim nilijua unaleta link na evidence kumbe blaa blaaa tu. naona unaukichaaa wa mawazo. Lete story iliyokamilika acha ufinyu wa mawazo
 
You think I give a damn about a Grammy? Eminem wajinga wakaja kumpa baadae same to Ali K usipoteze hela zako kwa ajili ya Awards [HASHTAG]#watakutafuta[/HASHTAG]
 
music its Business.kama ulikuwa hujuiii mzikii biashara ndioo huuo kiba anafanya mzikii wa kuuza sura mpaka leoo hiii
Domo na kiba hawana tofauti ya kipato. Wote wanaimba na wote waliuza au wanaendelea kuuza ngada... Bishaaa
 
Nataka Mimiload ushahidi wa unonesha idadi ya kura za washiriki wote, lakini nashindwa, yeyeto anaueweza kunisaidia anielekeze namna ya kuapload images.
You come with an allegation and yet you cant even prove it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…