Ali Kiba ahujumiwa tuzo za Afrimma. siri yafichuka

Itafikia hatua hata kwenye tuzo za MTVema ambazo diamond hashiriki tusishangae Kiba akishindwa akamtupia lawama Diamond kuwa amechangia yeye kukosa tuzo hiyo....acheni kutafuta chuki za lazima bhana
 

Kingkiba kahujumiwa, ukweli lazima usemwe.
 
hivi huyo kibakuli achukue tuzo kwa ngopa ipi kwa mfano??,aendelee tu na kibwagizo chake cha 'yoooo',atashinda labda huko kigoma

Endelea kuota hivyo hivyo wakati graph ya msanii wako inazidi kudidimia.
 
Acheni unazi nyie team kibakuli tatizo lenu kura hampigi mnapenda kutukana tu na kuaminishwa uchawi na kibakuli wenu hapa tuzo tu majungu kwenu
 

Usidanganyike na views za kununua YouTube, Ubora wa ngoma haupimwi na YouTube, mbona kwenye mauzo ya downloads mpo dhaifu?

kwanza YouTube is nothing, hata ngoma za wachina zina views weng tu, hata ww hapo ukivua nguo utupie video YouTube utapata views wengi.
 
Acheni unazi nyie team kibakuli tatizo lenu kura hampigi mnapenda kutukana tu na kuaminishwa uchawi na kibakuli wenu hapa tuzo tu majungu kwenu

Hujielewi, kura zinapigwa sana sema hujuma nyingi.
 
Itafikia hatua hata kwenye tuzo za MTVema ambazo diamond hashiriki tusishangae Kiba akishindwa akamtupia lawama Diamond kuwa amechangia yeye kukosa tuzo hiyo....acheni kutafuta chuki za lazima bhana

MTVEMA tuzo za wazungu hazina figisu hizo kama viafrimma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…