Ali Kiba akijipanga hii nyimbo hata FIFA wanampa hela for World Cup 2022

Ali Kiba akijipanga hii nyimbo hata FIFA wanampa hela for World Cup 2022

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Sijajuaga huyu mtu anafeligi wapi sijui hana watu wa PR and Marketing, albamu yake iliyotoka jana ni kali sana mnoooo ila hili song akituliza kichwa akajipanga na kufanya lobbying linampeleka kimataifa kabisaaaaaaa hata FIFA wanaweza kulitumia katika orodha ya anthems za World Cup 2022.

 
Nasikia ana dharau sana ndiyo maana hawezi kaa na mameneja ila hii albamu akijipanga akapata watu wa lobbying inampeleka mbali sana otherwise sidhani kama atakuja kufanya albamu tamu hivi ,nyimbo zote ni moto ,beats zimetulia kibongo fleva kabisa
Hehe..haya Alikiba tumesikia
 
Nasikia ana dharau sana ndiyo maana hawezi kaa na mameneja ila hii albamu akijipanga akapata watu wa lobbying inampeleka mbali sana otherwise sidhani kama atakuja kufanya albamu tamu hivi ,nyimbo zote ni moto ,beats zimetulia kibongo fleva kabisa
Watu hawajui tu kuwa Kiba Ana Nyodo, Mjivuni wa ndani kwa ndani na Madharau.... Kuliko hata Domo!
 
Nasikia ana dharau sana ndiyo maana hawezi kaa na mameneja ila hii albamu akijipanga akapata watu wa lobbying inampeleka mbali sana otherwise sidhani kama atakuja kufanya albamu tamu hivi ,nyimbo zote ni moto ,beats zimetulia kibongo fleva kabisa
Ngoja nikasikilize nijilizishe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wabongo bhana..
Ishindikane vipi K naan alikuwa ana hustle tu hapo nairobi msomali yule lakini nyimbo yake ilikuwa kwenye anthems za world cup 2010, ukijua nyimbo za world cup huwa zikoje hautapata tabu kabisa
 
Mtoa post chukua maji makubwa ya baridi pamoja na Mo Energy changanya halafu kunywa ili misuli ya kichwa ilegee vzr na akili zako zitakurudia
 
Back
Top Bottom