AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Kweli kabisa hii ilikuwa nafasi yake kuperform na kuonekana Africa na pia angekuwa mjanja angepiga na media tour kujitambulisha yeye na kazi zke maana ukiiteka Nigeria kidogo tu ndo step ya kwenda kuiteka africa
Kwani ile media tour ya collabo ya mondy na Neyo - mapenzi pesa, ilizaa matunda gani? Hahahaha
Kimataifa ndio nini nyie mbona mnaongea upuuzi upuuzi? kama huyo diamond ni wa kimataifa je mmewahi kusikia kaitwa na promota akaperform show yake mwenyewe Nigeria au south kama jinsi wakina wizkid wanakuja hapa?
Diamond licha ya kununua tuzo zote lakini kaishia kuambulia vishow kwenye events tu kama harusi za mastar wa africa na event za tuzo kama hizo tu, hakuna maslahi yeyote anayopaya huko zaidi ya kujazwa sifa za kijinga insta.
Kiba alisema yeye ni mkubwa zaidi ya tuzo na mziki wake una thamani zaidi ya tuzo, sasa hofu yenu nini?
Walienda wapi bukoba au cjwahi ckia iyo media tour tukutane baadae #afrimaawards
Hahahaha wazee wa category ya Video bora ya mwaka, hamna pengine pa kuchomokea.
Tangu Nana imeshika chat huko station za nje je imemuingizia mondy faida gani huko nje zaidi ya sifa za insta.
Harmonize kabeba nyota yake, sion mtaniambia.
kwani kiba hatak kuambiwa ni msanii mwenye video bora ya mwaka,mbona anamalza hela kwenda sauz kwa kina godfather kama hatak angebak kwa kina adam juma au ndo ule mwendelezo wa SIZITAKI MBICHI HIZI
Kinachomfanya domo ahudhurie kila tuzo ni biashara yake ya unga tu hakuna kingine ila ni msanii wa kawaida sana yule kuliko mo music au baraka da princekwani kiba hatak kuambiwa ni msanii mwenye video bora ya mwaka,mbona anamalza hela kwenda sauz kwa kina godfather kama hatak angebak kwa kina adam juma au ndo ule mwendelezo wa SIZITAKI MBICHI HIZI
Basi tuseme amekacha kushiriki
Waelezee hao, yan umenifurahisha sana,
Ndio maana nikawaambia wastop kuabuse the word INTERNATIONAL.
Hahahaha wazee wa category ya Video bora ya mwaka, hamna pengine pa kuchomokea.
Tangu Nana imeshika chat huko station za nje je imemuingizia mondy faida gani huko nje zaidi ya sifa za insta.
Harmonize kabeba nyota yake, sion mtaniambia.
View attachment 305947
from diamondplatnumz - Jus wanted to let you know that we have won the first one BEST EAST AFRICAN ARTIST OF THE YEAR! this is for you my fans... thanks for the Votes!!!🙏 thanks alot the_speshoz for this Suit and many thanks to my brother @jm_international_collection for the scarf and Tie! #AfrimaAwards
hii sasa sifa yaani huyu jamaa anakera kilasiku yeye ..blaza muonee huruma kiba ameshanyooka kitambo
Hajaomba msaada wowote ana msadiaje Joh makini huyu kimataifa