AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Kweli kabisa hii ilikuwa nafasi yake kuperform na kuonekana Africa na pia angekuwa mjanja angepiga na media tour kujitambulisha yeye na kazi zke maana ukiiteka Nigeria kidogo tu ndo step ya kwenda kuiteka africa
Kwani ile media tour ya collabo ya mondy na Neyo - mapenzi pesa, ilizaa matunda gani? Hahahaha
