Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

Nooooooonsense kwakweli.
 
Khhaaaaaa iv mbona unashindwa kujenge logic padogo iv jamaa??[emoji20]
Kwan wewe unamfahamu salam k kama nani kwenye industry ya mziki? Na kumbuka kama asingehitajika pale basi wasinge mruhusu aende backstage. .. acha uswahili na wewe bwana aghh
Usije ukammeza tuuu
 
akipunguza uswahil uenda atafikia mafanikio ya mwenzake

ila pia ashukuru kulinganishwa na mwenzake, maana wapo wenye kuitafuta hyo nafas hawaipat
 
Khhaaaaaa iv mbona unashindwa kujenge logic padogo iv jamaa??[emoji20]
Kwan wewe unamfahamu salam k kama nani kwenye industry ya mziki? Na kumbuka kama asingehitajika pale basi wasinge mruhusu aende backstage. .. acha uswahili na wewe bwana aghh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utaumwa kichwa kuargue na timu king, wachache sana kati yao wenye uwezo mzuri wakufikiri, hesabu rahisi 1+1= 2 lakini zimewashinda, yaani mtu kakomaa kabisa eti SK alifata nini kwenye show ya kiba [emoji23] like seriously! Na ni nani aliwadanganya ile ni show ya kiba? SMFH (watanisamehe kama nimewavunjia heshima)
 
Hata hujawavunjia heshima, usijali
 
Heshima ipite njia juu tafadhali....naona unavuka boda na kuingia nyumba zetu za ibada kwa dharau na kejeli...hizo Salome na aje zenu hatufundishwi na kamwe hazitokaa zifundishwe madrasat....paka wa maziwa weye.
Wallah nimechekaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!ahsante mkuu kwa kumaliza siku yangu vizuri[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Meneger wako ,kasema tatizo ulikuwa mda ,sasa cha kumlaumu meneger wa mond ,kiko wapi ,kweli Leo ndoo tumejua kuwa wewe kila kitu kabla hujafanya na kunena unamfikiria Diamond, usinene kitu kabla hujafikiria kwanza
 
You nailed it buddy!!
Cheerz!!!

[emoji106] [emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…