Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

sanii lake Domo haliwezi kupiga show live bila ya playback .
Watoto jamaa matako sana pale WCB.
Hata kwenye Ziff tamasha la
majahazi hawaitwi coz hawana sifa.
No 1 kaiba kwa baba levo.
Eti msanii domo wakati Davido kasema
nigeria mpka Tanzania atamfanya kuwa maarufu
na akakubali kuwekwa mgongoni.
Nawachukia sana wale jamaa na tabia zao za kishezi.
 
Diamond kasha cross border... hakukua na sababu yeyote ya kumuiIterrupt Kiba namna ile. Kama kweli ilipangwa its a Big Big shame to WCB.
DIAMOND ALIPOFIKIA KIBA HAWEZI KUWA THREAT KABISA..
Hivyo na wewe unaamini sallam alimzimia kiba mic? And like serious hujajua mpaka sasa what happened mpaka wasanii wakaperform in less time walizopangiwa awali? Huyo mmarekani mwenyewe hakupafomu kwa muda wote aliopangiwa, kilichomcost kiba mpaka hiyo incidence ikamwangukia alikuwa akitoka yeye ndio apande chris, na muda haukuwa rafiki kwao, kiba akiwa kwenye mzuka wasingeweza kumfuata stegini wakamwambia aisee shuka chris apende, manake ndio mzuka ulikuwa unapanda so best shortcut wakaona wazime mic na bila kupoteza muda chris alipanda, na alitumia mic ile ile, nilichoelewa mimi kama PAULA kuzimika kwa mic halikuwa tatizo la kiufundi, wala la kiba, wa sallam, waandaji walihusika na ukiwauliza they will give the sababu very clearly ( japo wana makosa hawakupanga muda wao vizuri) LENGO LA SALLAM KUWEPO BACK STAGE HALITOFAUTIANI NA UWEPO WAKE WAKATI WA COKE STUDIO (NE-YO) pale alienda kumnyemelea CHRIS japo sidhani kama ilikuwa rahisi kama ilivyokuwa kwa NEYO! So plzzz pepo stop hate the guy was just want to try his luck kupata kazi. Ivyo yaani!
 
Heshima ipite njia juu tafadhali....naona unavuka boda na kuingia nyumba zetu za ibada kwa dharau na kejeli...hizo Salome na aje zenu hatufundishwi na kamwe hazitokaa zifundishwe madrasat....paka wa maziwa weye.
Truee... kiba will main to be kiba n not religious matter, let us only discuss kiba and its stupidity
 
Tatizo ni ssalaam alifata nini backstage.... alienda kama nani.. na kufata nini. Na ili iweje.. aliiitwa? Alikiba keep cool ur talented than one they compare to...
we unadhani mtu anaweza tu kwenda backstage bila ruhusa? salaam alikuwa anafukuzia kuonana na Chris brown...
 
Unajaribu kuongea ukweli lkn stil unapovu flan iv na kauteam... ukikaacha hako utakua moja ya wachangiaji boraaaa..
Na ulichojaribu kukiadress diamond ndo yuko kukifanyia kazi... [HASHTAG]#LIVEBAND[/HASHTAG] akikazana soon utamwelewa tu kwenye hilo
 
Jiweke nafasi ya Kiba halafu unamuona Manager wa adui yako kwenye show ambayo huyo adui yako hayupo....lazma utajisikia vibaya....nimemuonea huruma
 
Jiweke nafasi ya Kiba halafu unamuona Manager wa adui yako kwenye show ambayo huyo adui yako hayupo....lazma utajisikia vibaya....nimemuonea huruma
Kumbe diamond ni adui wa kiba.....tokea lini wana uadui coz wakiulizwa wanakataaga sasa nashangaa kusema wana uadui eb tufafanulie zaid
 
Mike haizimwi kwa msanii aliye katika ratiba ya kuperform. That never happens....

Alafu wekeni akiba ya maneno.. Mpaka sasa huyo Salaam cjui hajaongea kitu.. Ila naona mnauvaaa uhusika wake.

MIKE HUZIMWA KTK AUDITIONS... kufanya kwa msanii aliyejenga jina ni dharau na uhuni mkubwa.
 

Siku hizi hesabu rahisi sana mbona Kiba?
1+1=11
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…