Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

Alifuata nini back stage,ukijua mtu atatafuta sababu kupitia wewe muepuke...ni sawa na wazazi wanapowaambia watoto usicheze na mtoto yule mtakolofishana tu..kwa hiyo ni jukumu lako kumpitia mbali
..
Ulifuata nini back stage? Lile tamasha lilikuwa na wasanii wengi nazizi, navio, dj maphorisa, wizkid na timu ya chris brown wote walikuwa back stage wewe ulitaka awe vipi connected na hao watu?
Mbona hoja dhaifu sana hiyo
 
Alifuata nini back stage,ukijua mtu atatafuta sababu kupitia wewe muepuke...ni sawa na wazazi wanapowaambia watoto usicheze na mtoto yule mtakolofishana tu..kwa hiyo ni jukumu lako kumpitia mbali
..
kwanza huko back stage hakuwa pekee na salam si mhandisi wa sauti au fundi mitambo mpaka apewwe lawama ambazo zilitakiwa kuwa za fundi mitambo...
Kama ingekuwa ni kosa salam kuwa back stage basi waandaaji wasingelimuacha pale..
 
Alifuata nini back stage,ukijua mtu atatafuta sababu kupitia wewe muepuke...ni sawa na wazazi wanapowaambia watoto usicheze na mtoto yule mtakolofishana tu..kwa hiyo ni jukumu lako kumpitia mbali
..
ahahahahahahha UNAMPITIAJE MBALI CHRISS BROWN?
yani wewe ni meneja wa mwanamuziki
af chriss brown yuleeee kaka kwenye kiti anakunywa Fanta pineapple ,af we uchukue boombadier ikupitishe vruuuuuum!
achene mambo yenu!
 
so kiba anahisi sallam alienda kuangalia show Mombasa!
if so,ina maana angekuw anatumbuiza diamond yeye meneja wake (hivi anae?)
angekaa VIP kutumbuizwa na chris brown!
NO WONDER HENDI HARUDI!
bado najiuliza hivi Salam ni mhandisi wa sauti au fundi mitambo? salam alikuwa kwenye sehemu ya mitambo? kama back stage kulikuwa haruhusiwi mtu kuwepo si angelitolewa?
bila shaka ALIKIBA ameanza kuugua kichwa?
 
bado najiuliza hivi Salam ni mhandisi wa sauti au fundi mitambo? salam alikuwa kwenye sehemu ya mitambo? kama back stage kulikuwa haruhusiwi mtu kuwepo si angelitolewa?
bila shaka ALIKIBA ameanza kuugua kichwa?
kiliungua siku nyingi ndo mana anategemea sallam alilipiwa nauli ya ndege,akapewa na per diem na luggage allowances only to kukaa VIP seats ili asubiri chriss brown aje akunje kunje miguu na kuserereka kwenye sakafu.
 
bado najiuliza hivi Salam ni mhandisi wa sauti au fundi mitambo? salam alikuwa kwenye sehemu ya mitambo? kama back stage kulikuwa haruhusiwi mtu kuwepo si angelitolewa?
bila shaka ALIKIBA ameanza kuugua kichwa?


Hahahahahahhah mkuu comment yako lol
 
kwanza huko back stage hakuwa pekee na salam si mhandisi wa sauti au fundi mitambo mpaka apewwe lawama ambazo zilitakiwa kuwa za fundi mitambo...
Kama ingekuwa ni kosa salam kuwa back stage basi waandaaji wasingelimuacha pale..
 
Hawa wapuuzi wote wanacheza na akili zenu, hahaha huyo Kiba na huyo Sallam wamekaa wamekubaliana Kiba aropoke nn juu ya suala hilo, haiingii akilini mtu mzima na akili zake aamini upuuzi anaolishwa na Kiba direct bila kuchuja...

Hizi timu zitumie busara kuchanganua mambo kwa kina sio kukurupuka... HAKUNA BIFU KATI YA HAWA WAWILI, KAMA LILIWAHI KUWEPO LILIMALIZIKA KILICHOBAKI WANAKAA WANAPANGA JINSI YA KUCHEZA NA AKILI ZA MASHABIKI.....
 
Ulifuata nini back stage? Lile tamasha lilikuwa na wasanii wengi nazizi, navio, dj maphorisa, wizkid na timu ya chris brown wote walikuwa back stage wewe ulitaka awe vipi connected na hao watu?
Mbona hoja dhaifu sana hiyo
sallam connection yake kubwa wote tunajua inamaana hao wengine aliowaunganisha kupitia kukaa kwake back stage..mbinu za kuwapata anazijua..acha niendeler kujiuliza alifuata nini?
 
Ulifuata nini back stage? Lile tamasha lilikuwa na wasanii wengi nazizi, navio, dj maphorisa, wizkid na timu ya chris brown wote walikuwa back stage wewe ulitaka awe vipi connected na hao watu?
Mbona hoja dhaifu sana hiyo
sallam connection yake kubwa wote tunajua inamaana hao wengine aliowaunganisha kupitia kukaa kwake back stage..mbinu za kuwapata anazijua..acha niendeler kujiuliza alifuata nini?
kwanza huko back stage hakuwa pekee na salam si mhandisi wa sauti au fundi mitambo mpaka apewwe lawama ambazo zilitakiwa kuwa za fundi mitambo...
Kama ingekuwa ni kosa salam kuwa back stage basi waandaaji wasingelimuacha pale..
Watjuaje ila mtendewa lazma upate wa kumshuku..hata Arafat na mwakyembe hawakumuona mtendaji wa yao ila wapo walihisiwa wamefanya yale.
 
kwanza huko back stage hakuwa pekee na salam si mhandisi wa sauti au fundi mitambo mpaka apewwe lawama ambazo zilitakiwa kuwa za fundi mitambo...
Kama ingekuwa ni kosa salam kuwa back stage basi waandaaji wasingelimuacha pale..
Cha ajabu ni kuwa mic imezimwa kama ingekua figisu si angepewa nyingine.... Ilivozimwa alishushwa mic ile ile akapewa chriss sasa hapo sallam anahusikaje
 
Kama ni kweli basi kila mtu ashike hamsini zake
Wa kualikwa bila kipato aendelee kualikwa na wa kuitwa kwenye shoo aendelee kuitwa kwenye shoo
 
Hamna MTU anahitaji kiki yyt toka kwa kina!
Iiiiili?
 
Wala huna haja ya kutoa povu lote hili... kibinaadamu hata ungekua wewe ungefikiri ndivyo sivyo.

alichokifanya Kiba sio ubinadamu...ni utoto na upumbavu!
Mwanaume hatafuti mchawi na kulaumu wenigne tu kwa matatizo yake aisee..
Jamaa mmoja humu kaeleza uwezekano kua labda SK alikua akifuatilia miunganiko ya kibiashara kati ya mteja wake na Chris B..ambapo kuna ushahid wa deal za awali za hivi!sasa management ya CB angeikuta wapi,VIP??!
MUZIKI NI BIASHARA AND ALI SHOULD MAN UP NA AACHE KUTAFUTA MCHAWI KWENYE MATATIZO YAKE!

anakoelekea soon hatataka member yoyote wa WCB awe Dar es salaam wakti yeye ana perform...!
 
Then ukishawachukia unapata nn? Ukinipa faida za kuwachukia watu wasio kufahamu ila ww unawafahamu, watu wasiokufuatilia ila ww kutwa kwenye mitandao ya kijamii kuwafuatilia nitakubali kuwachukia pia.....
Tatizo lako ni shordoo ndio maana hunifahamu ila ukikuwa utaacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…