Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

Hakuna povu hapo.. Mdau kaongea kweli tupu. (tena hii tupu imejisitiri [emoji23])

Team kiba bhana.. Poleni mchawi nyinyi wenyewe
Ndugu mimi sio team kiba.. ila kwa ujinga huu siwezi utetea. Tena umetokea ugenini. Ingekua nyumbani ingekua kawaida.
 
Mhh au ndio mambo ya okokokorobo na papa Wemba!
 
Maandalizi..vifaa na mpangilio haukuwa mzuri hata na time table
 
Umemalizaaa
 
mimi ni shabiki mkubwa wa diamond na alikiba ila naona kama diamond ana sifa sana anataka kuonekana yeye tu.huwa najiuliza kwani tz tukiwa na wanamuziki wengi wakubwa kuna shida gani?
Yaaan umeongea maneno kuntu..hata uko Marekani ambako kunasifika kwa mziki hawawakilishiwi na msanii mmoja.
 
Yaaan umeongea maneno kuntu..hata uko Marekani ambako kunasifika kwa mziki hawawakilishiwi na msanii mmoja.
tatizo team za kipuuzi kwani mtu huwezi mpenda diamond pia ukampenda alikiba? mbona wote mziki wao mzuri tu
 
Inanikumbusha fiesta ya mwaka fulani pale leaders club alipokuja Davido! Mondi alirushiwa hadi chupa za mikojo watu wakashangiliaa! Kwa kizungu wanasema " Revenge is the dish that tastes delicious when it is cold" - THE GODFATHER!
 
Kwa hiyo hata shoo zake, watu wa karibu wa diamond platnumz na mashabiki zake wasiende? Huyu jamaa amejaa chuki hana lolote. Alafu baadaye anawaomba watanzania wampigie kura wakati yy mwenyewe kila siku anajenga ukuta wa kuwatenganisha watu, anaonekana anazipenda hizi tim
 
Nimekumbuka ile kauli ya "watu wanatumia pesa nikose tuzo" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kiba bana hakosagi visababu....
 
Mbona anavisababu vya kitoto huyu inamaana wale walioandaa show ni wajinga mpka wamruhusu mtu asiejulikana amzimie mic msanii walie mlipa 150 mil kweli?

Hajalipwa milioni hamsini..kalipwa milioni 40
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…