Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

Mondi anafanya biashara ya mziki na kiba anafanya mziki apo tu tofauti,kiba acha kuishi kwa hisia.
 
Kuna mambo mengine kama haya ndio huwa tunasema uswahili. Alikiba anashangaa meneja wa Diamond kukaa backstage, na eti anahoji kwa nini asingekaa VIP kama ishu ni kuona shoo. Hivyo kwa mtazamo wake yeye Alikiba anahisi meneja wa Diamond ndiye aliyezima Mic. Katika hali ya kawaida tu hivi inawezekana meneja wa Diamond akazima Mic kwenye hughuli isiyo yake? Anyway tuachane na uswahili wa Alikiba na pengine ndio maana anashindwa kufanya mambo makubwa katika muziki pamoja na ukongwe alionao katika muziki.

Kazi ya kuwa meneja wa mwanamziki ni kubwa sana kama unamua kujishughulisha na kuhakikisha mwanamziki wako unayemsimamia anafika mbali. Sote tunaelewa ni jinsi gani WCB walivyo wanzuri wa kutumia kila aina ya upenyo wanaopata katika kuhakikisha kazi zao zinafika mbali. Chris Brown kaja Kenya pamoja na uongozi wake, hivi mlitegemea Sallam akae tu ametulia, au akae VIP ametulia anangalia shoo badala ya kutengeneza contacts na uongozi wa Chris Brown? Hivi Alikiba anajua kweli namna connections na wasanii wa nje zinavyopatikana? Anajiuliza why Sallam akae backstage, heee sasa alifikiri Sallam ataongea na uongozi wa Chris Brown wapi? Mwenzake anahangaika kufanya connections na wasanii wakubwa yeye anakaa kufikiria kwamba mtu anaweza kusafiri kutoka Dar hadi Mombasa kwa ajili ya kwenda kuchomoa Mic. Huu ufinyu wa mawazo ndio unamfanya kila siku aishie kulalamika na kuhisi anahujumiwa. Leo tunapopewa ratiba ya tour ya Diamond na Neyo UK si kazi ambayo imefanyika kitoto, bali watu wametumia fursa na nafasi zinazojitokeza kuweza kutengeneza connections kama hizo. Au tumeshasahau ni namna gani Neyo na Diamond walikutana? Au hatujajua ni namna gani Diamond na Swiss Beats wamekutana?

Kifupi Alikiba ana safari ndefu ya kujifunza kuhusu namna ya kutafuta soko la muziki. Akiendelea kuwa na fikra mgando kama hizo ataishia kulalamika tu na mwishowe atashindwa kufanya vinzuri kwa sababu ya kutaka kushindana na Diamond. Mwenzake Diamond sasa hivi anafocus kwenye soko ya Ulaya maana Afrika ameshamaliza, America ameshaingia, ila yeye Alikiba anawaza kwamba mtu atapoteza hela zake kwenda Mombasa kuchomoa Mic. Daaah kweli tunatofautiana .
Umenena kweli
 
pitia post zangu.. bty kufuatwa na nzi wengi haimaanishi umekunya mavi mengi...
Mimi sio muandishi wa ilepost by the way..But najua mtu akiandika kitu chenye content na akiandika mashudu. Being cocky is a sign of low self-esteem.
 
Katika siku ambazo nimemdharau na Kumchukia Alikiba ni leo...yaani yeye ameshajua hili bifu yeye ndiyo linampandisha...WCB wamemuacha Alikiba mbali sana..

Hivi anaelewa maana ya backstage?!Ali hajui ni nani anapaswa kukaa backsatage,video zote zinaonyesha ni wakti gani sallam alikuwa backstage,ni kuanzia festival imeanza mpaka imeisha sallam alikuwa nyuma ya Stage...Ndege ya Chrisbrown ilikuwa inamsubiri Breezy amalize show aondoke haraka!!!sallam angepata muda saa ngapi wa kuongea na management ya CB?!JIBU ni kwamba ilitakiwa amfate backstage!!

Hofu ya Ali iko wapi ikiwa kama meneja wake amekiri kwamba maiki ilizimwa na Waandaaji wenyewe ili kumpisha WizKid na CB wapafomu haraka ili Breezy awahi kuondoka na ndege yake...sasa kwanini Ali amlaumu sallam?!Halafu wakati Chrisbrown amepanda jukwaani umeme ulizimika ikabidi liwashwe generator...ina maana Sallam pia ndiye alizima umeme wakati CB anapaform?!

Nachukia sana watu wanaotaka wenzao wachukiwe ili wao WAPENDWE!!mara nyingi tumeshuhudia Ali akimwekea Chuki Diamond ili aendelee kusemwa na kusikika kwenye Media...na hii inamfanya Diamond aendelee kuwa Juu zaidi...Kumbe bila Diamond hakuna Alikiba

Hii inanifanya niamini kwamba kumbe WCB ni Brand kubwa Zaidi kuliko SONY MUSIC...
Kama msanii anayesimamiwa na Kampuni kubwa duniani ya SONY anamuogopa Meneja Uchwala tena Mtanzania Sallam sk basi ni dhahiri shahiri kwamba hiyo label haina manufaa kwake!!

Halafu show haikuwa ya Alikiba,mwenye show hasa ni Chrissbrown na WizKid...Alikiba alikuwa msindikizaji tu kama wasindikizaji wengine kina VANESSA.

Yeye alivamia show ya Diamond Mombasa na akapaform kabisaaa..lakini sikuwahi kusikia Diamond analalamika popote kwa sababu mwisho wa siku ile ni biashara na wote ni watanzania...kama Sallam ana roho mbaya kiasi hicho basi angemzimia Mic Alikiba siku ile wanapafomu jukwaa moja..

Afanye kazi...aache kulalama kama mwanamke Aliyebakwa!!Badala ya kuimba nyimbo za maana yeye ameenda kuimba MacMuga na Cinderella[emoji30][emoji30]kwanini watu wasimshushe?!
 
Nashindwa kumshangaa Kiba na washabiki wake, anaonesha live anajipambanisha na mtu anaejua hamuwezi, sasa kumuhusisha Sallam na kuzimwa mic;
Kweli mic ilizimika, ikawaje ashuke jukwaani? haikuwa kazi rahisi kuchukua mic nyingine tu aendelee kuperform?
Sio nzuri hyo kama taifa tunapaswa kuwa wamoja hasa tunapokuwa kwenye uso wa watu wa mataifa mengine kauli nyingine ni za kuharibiana.
CONFERMED: KIBA ana bifu na Diamond
 
Kibakuli anaangalia namna ya ntoke vipi. Hiv anafikiri watu wote ni wapuuzi hatuwez kung'amua mambo mpk adanganye umma na hizo fix.
Kwanza hata haelewek kutafuta kutetewa ss watu tunamuona uyu ndo mwanzilishi wa bifu hewa kati yake na mondi
 
Nashindwa kumshangaa Kiba na washabiki wake, anaonesha live anajipambanisha na mtu anaejua hamuwezi, sasa kumuhusisha Sallam na kuzimwa mic;
Kweli mic ilizimika, ikawaje ashuke jukwaani? haikuwa kazi rahisi kuchukua mic nyingine tu aendelee kuperform?
Sio nzuri hyo kama taifa tunapaswa kuwa wamoja hasa tunapokuwa kwenye uso wa watu wa mataifa mengine kauli nyingine ni za kuharibiana.
CONFERMED: KIBA ana bifu na Diamond
Naanza kuuona uswahili wa kiba maana nilikuwa nabisha siku zote.
 
Msanii wa bongo Fleva Alikiba amemshushia tuhuma nzito meneja wa msanii mwenzie Diamond platnumz maarufu kama Sallam.
Akizungumza na clouds FM katika kipindi cha xxl, alikiba amezumgumza kwa huzuni sana kwamba Sallam ndiye aliyehusika kufitinisha yeye kupokonywa maiki katika jukwaa hilo
Anasema wakati akiwa jukwaani alimuona sallam chini ya jukwaa, hivyo huenda amehusika moja kwa moja katika fitna hiyo.Anasema kama hawana bifu meneja huyo alikwenda Mombasa katika show hiyo kufanya nini?

Haya yamekuja baada ya Alikiba kuperform nyimbo mbili tu na kuzimiwa maiki na kupandishwa msanii mwingine Chriss brown.

Je , tuhuma hizi zinaweza kuwa na ukweli wowote?
Non sense... kiba anaishiwaa[emoji23] [emoji23]
 
Nashindwa kumshangaa Kiba na washabiki wake, anaonesha live anajipambanisha na mtu anaejua hamuwezi, sasa kumuhusisha Sallam na kuzimwa mic;
Kweli mic ilizimika, ikawaje ashuke jukwaani? haikuwa kazi rahisi kuchukua mic nyingine tu aendelee kuperform?
Sio nzuri hyo kama taifa tunapaswa kuwa wamoja hasa tunapokuwa kwenye uso wa watu wa mataifa mengine kauli nyingine ni za kuharibiana.
CONFERMED: KIBA ana bifu na Diamond
Anahaki ya kuzungumza dunia ya sasa yenye ushindani mkali hupaswi kumuamini mtu yangetokea ya papa wemba nani angewajibika kama msanii wako hayupo we unafatanini nyuma ya jukwaa
 
Hawa jamaa wote ni wachawi. Kiba ni mchawi hivyo ni rahisi kumjua mchawi mwenzie.

Anyway on serious note ... huyu manager wa Diamond alionekana backstage kwanini??

Kiba katia huruma sana anavyoongea hapo...
Salam n mdau mkubwa sana kwenye industry ya music both locally and internationally so kuuliza kwann alikua backstage nadhani na swali la kipuuzi,na kumbuka yeye hakua pekee ake backstage if so aliwezaje kufanya kiti kama iyo bwanaaaa aghhh ... kiba ache mambo ya kiswahili akajipangeee
 
Back
Top Bottom