Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

SK alienda kumcheck chris wala hakuna sababu ya yey kumlaumu SK
 
Huu ushindani naona sasa si wa kisanaa!! Mnashindana kupanda ila ni vita kuhakikisha mwingine hakubaliki kabisa kisanaa!!

Sasa Salam S. K. alifata nini back stage katika show isiyomuhusu?? Sidhani kama atakwepa hizi tuhuma for sure
Kwani sallam kua back stage kuna muuma nini kiba..?
 
Asante mkuu umemaliza
 
Je kama alibeba hizi alifuata nn na wakati msanii wake hakuwepo kwenye shoo
Alibeba hizi nini..? ...uliambiwa kwenda sehem mpaka hawepo msanii wake..?...unajuaje je kama alienda kwa ajili ya connection ya mziki kwa ajili ya msanii wake...?

Afu kiba analalamika kwani yeye ndo mmliki wa show...mpaka salam kwenda back stage basi alikua na makubaliano na wenye show..kiba aache lawama afanye kazi zake
 
Kiba hana jipya kapagawa na Mic za kenya tu,asepe zake na hizo 43m akazifaidi jojo.
 
Tatizo la kuwa cheap/kulipwa pesa kidogo ndo hilo. Kwa mujibu wa habari ni kwamba wizkid alilipwa 4 mil ktsh na kiba ni 2 mil ktsh. Hapa utaona kwanini mic hakuzimwa kwa wiz na walisubiri mpk amalize kuimba nyimbo zake alizozipanga. Utakavyojiweka ndivyo thamani yako itakavyokua. Kama wote wangelipwa pesa inayofanana nadhani waandaaji wangethamini pia pesa yao kwa kuarrange vema muda wa kuwapandisha jukwaani. Sioni sababu ya kiba kumlalamikia Sallam coz yeye hakuwa muandaaji wa show. Nadhani ingekua muhimu zaid kuwalalamikia walioandaa show ikiwezekana awashitaki ila kumlalamikia Sallam daaah!! umechemka mfalme Kiba.
 
Mhh au ndio mambo ya okokokorobo na papa Wemba!
yanatokea sana hayo mambo ya papa wemba mfano ingetokea tunge mlaumu nani kama sio huyo meneja kilichompeleka nini hiooo inaweza kuwa michongo dunia imebadilika now
 

Maboso,
Yaani watu wasipoelewa ulivyoainisha kazi za meneja wa msaniii au mwanamuziki basi wa-Tanzania tutakuwa na matatizo kama ya AliKiba. Pia hii show haikuandaliwa na Ali Kiba bali ma-sponsor na menejimenti wa Chris Brown wanahusika sana na hapo kuna fursa kibao za kibiashara kufanya contact na WCB kupitia kwa Sallam.
 
Je kama alibeba hizi alifuata nn na wakati msanii wake hakuwepo kwenye shoo
Kuna kitu kinaitwaa connection, breezy msanii mkubwa sana pengine manager wa diamond alitaka au alikua na mazungumzo na msanii huyo, ni mtazamo tuu na sii kingine, kwanza manager wa kiba alkua wapi? Ina maana kiba hana team backstage iwapo ana perform kuangalia mambo yanaenda sawa kama walivyopanga? Au kiba alkua solo kwenye tamasha kubwa kama hili? ....... Ni mtazamo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…