Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

Tatizo ni ssalaam alifata nini backstage.... alienda kama nani.. na kufata nini. Na ili iweje.. aliiitwa? Alikiba keep cool ur talented than one they compare to...
Nami hili Swali nmejiuliza, alifuata nini backstage??? Mnamlaumu kiba bure, Kama huyu meneja wa diamond hakuwa anaperform kulikuwa na sababu ya kukaa backstage??,mwenyewe Ningekuwa kiba ningedoubt tena ukijumlisha na hawa [HASHTAG]#wcb[/HASHTAG] walivyokuwa watu wa fitna
 
Kuna mambo mengine kama haya ndio huwa tunasema uswahili. Alikiba anashangaa meneja wa Diamond kukaa backstage, na eti anahoji kwa nini asingekaa VIP kama ishu ni kuona shoo. Hivyo kwa mtazamo wake yeye Alikiba anahisi meneja wa Diamond ndiye aliyezima Mic. Katika hali ya kawaida tu hivi inawezekana meneja wa Diamond akazima Mic kwenye hughuli isiyo yake? Anyway tuachane na uswahili wa Alikiba na pengine ndio maana anashindwa kufanya mambo makubwa katika muziki pamoja na ukongwe alionao katika muziki.

Kazi ya kuwa meneja wa mwanamziki ni kubwa sana kama unamua kujishughulisha na kuhakikisha mwanamziki wako unayemsimamia anafika mbali. Sote tunaelewa ni jinsi gani WCB walivyo wanzuri wa kutumia kila aina ya upenyo wanaopata katika kuhakikisha kazi zao zinafika mbali. Chris Brown kaja Kenya pamoja na uongozi wake, hivi mlitegemea Sallam akae tu ametulia, au akae VIP ametulia anangalia shoo badala ya kutengeneza contacts na uongozi wa Chris Brown? Hivi Alikiba anajua kweli namna connections na wasanii wa nje zinavyopatikana? Anajiuliza why Sallam akae backstage, heee sasa alifikiri Sallam ataongea na uongozi wa Chris Brown wapi? Mwenzake anahangaika kufanya connections na wasanii wakubwa yeye anakaa kufikiria kwamba mtu anaweza kusafiri kutoka Dar hadi Mombasa kwa ajili ya kwenda kuchomoa Mic. Huu ufinyu wa mawazo ndio unamfanya kila siku aishie kulalamika na kuhisi anahujumiwa. Leo tunapopewa ratiba ya tour ya Diamond na Neyo UK si kazi ambayo imefanyika kitoto, bali watu wametumia fursa na nafasi zinazojitokeza kuweza kutengeneza connections kama hizo. Au tumeshasahau ni namna gani Neyo na Diamond walikutana? Au hatujajua ni namna gani Diamond na Swiss Beats wamekutana?

Kifupi Alikiba ana safari ndefu ya kujifunza kuhusu namna ya kutafuta soko la muziki. Akiendelea kuwa na fikra mgando kama hizo ataishia kulalamika tu na mwishowe atashindwa kufanya vinzuri kwa sababu ya kutaka kushindana na Diamond. Mwenzake Diamond sasa hivi anafocus kwenye soko ya Ulaya maana Afrika ameshamaliza, America ameshaingia, ila yeye Alikiba anawaza kwamba mtu atapoteza hela zake kwenda Mombasa kuchomoa Mic. Daaah kweli tunatofautiana .
Na mameneja wa Chris Brown huwa wanaendaga backstage kuomba collabo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wabongo bana......kwa alichokifanya huyo meneja ndio naanza kuamini ile kauli ya sanamu la askari liondolewe liwekwe la diamond...
Why hatupendani kiasi hiki
 
lakini kwanini mic izime kwa kiba tuu na isizime wakati ana-perform chris brown au msanii mwingine yoyote [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
kwani huko nyuma alitakiwa akae nani?huyo salam alikuwa fundi mitambo??
 
Nami hili Swali nmejiuliza, alifuata nini backstage??? Mnamlaumu kiba bure, Kama huyu meneja wa diamond hakuwa anaperform kulikuwa na sababu ya kukaa backstage??,mwenyewe Ningekuwa kiba ningedoubt tena ukijumlisha na hawa [HASHTAG]#wcb[/HASHTAG] walivyokuwa watu wa fitna
Yaahh ssalam anabidi kujiongeza....
 
Tatizo ni ssalaam alifata nini backstage.... alienda kama nani.. na kufata nini. Na ili iweje.. aliiitwa? Alikiba keep cool ur talented than one they compare to...
unahisi aliingiaje bila ruhusa?huko baaa kii steji alitakiwa akae nani??
 
Tatizo kiba anamfikiria sana diamond platnumz na roho imamuuma kumuona mwenzake yupo juu, inaamana sallam kuwa backstage ni kosa, mbona naona nae anakuwa MPUMBAVU, sallam alikuwa yupo backpage na manager wa wizkid (mond ana project na wizkid) na vile vile hata mtv mwaka huu (kupitia ukurasa wao wa instagram) wamedokeza mond ana project na criss brown haya ww kama ungekuwa sallam ungefanyaje? Vitu vingine upuuzi mtupu anataka kuonyesha kufeli kwake kumetokana na sallam (childish reason), cha msingi amlaumu seven wakati yy yupo jukwaani seven alitakiwa afanye kama alivyofanya sallam, yy naona alikuwa kakaa tuuu. Alafu wa kumlaum yy anatakiwa amlaumu dj kwa sababu, dj ndie mwenye access na mic na si sallam, aache upumbavu wake akue basi hata siku moja, ila si shangai alikiba ili awepo ktk chati anamtegemea sana mond na aombe mungu aendelee kumuweka hai mond la sivyo ataumbuka kama ray.
 
Huyu duh

Sheria ikimjia kwa kuongea haya

Ila ni kam hataki kukubali kuwa yeye sio level ya Wickid na pia Brown. Hiyo ratiba lazima aelewe yeye alikuwa wa kuaga waliokuja na sio kuonwa kwanza nahisi alijipushi na ikamtokea hilo.

Yaani ndio maana.

Yangu macho na masikiok


Kila nikisomaga post zako kiswahili chako ni balaa mkuu jaribu kutulia post vizur mara nyingi unachapia sana.
 
Wale jamaa waliona muda umeenda na watu walikua wanamsubir Chris tu so akapanda Wizkid nae pia akaimba hakukaa sanaa lkn atlist aliimba hitsong zake thn akapanda Kiba walitumia ujanja Wizkid akapanda part ya Kiba ili akija Kiba iwe rahsi kumzimia Mic apande Chris Brown" maana kwa Wizkid ingekua ngumu kumtoa stejini.
Easy like that
Nilikua nastream live niliona kiba aache kulia lia muda ulibana tu na pia aache kupiga show kila siku mombasa aulize wenzake kina Mr Nice Matonya kuhusu show za mombasa kila mara....wakikuzoea wanakutema tu
 
Back
Top Bottom