Ngurubhe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,840
- 1,049
Hapo issue ni Chris brown alitakiw afanye show then alikiba alitakiwa kumpisha,huyo manager wa Diamond km alimuona kwann hakumwambia?
Manager ndio anaoperate mitambo? Mbona mnakuwa wepes wa kuskia sabb za kitoto na kuziamin?
Alikiba hata akifa leo atalia na Diamond!! Hilo lilikuwa tatizo la operator wa event hususani katika kumpisha Chris B. na sio km Alikiba anavyotaka kuiaminisha jamii.
Manager ndio anaoperate mitambo? Mbona mnakuwa wepes wa kuskia sabb za kitoto na kuziamin?
Alikiba hata akifa leo atalia na Diamond!! Hilo lilikuwa tatizo la operator wa event hususani katika kumpisha Chris B. na sio km Alikiba anavyotaka kuiaminisha jamii.