Huyu jamaa anafeli sana kwa wivu usio na msingi. It's obvious kuna foul play, ila Diamond na team yake hawana juice ya kufanikisha kitu kama, nor do they have a reason to anyway.
Kilichotokea, ni technical foul-play kutoka kwa waandaaji. Ni wazi hawakujipanga, na Kiba akatolewa kafara.
Cha kufanya, ni Kiba kuwabana waandaaji kupitia makubaliano yao(kama yapo), na jamaa watoe report ya kilichotokea na kumsafisha mshkaji, pengine wamlipe fidia. Otherwise, hili ni doa kubwa kwa msanii wa level yake, na anazidi kuchafua kwa kutoficha upumbavu wake.