Ali Kiba amtembelea mama mzazi wa Rais Magufuli nyumbani kwake wilaya ya Chato

Ali Kiba amtembelea mama mzazi wa Rais Magufuli nyumbani kwake wilaya ya Chato

Kwanini asijipige selfie akiwa na bibi yake?? Why mama Magu ndo iwe story..???? Kuna kitu anakitafuta....?? Na kwa sababu jamaa anapenda matukio ya sifa sifa, basi atakipata.
Hahahaha......kwamba karuka wabibi wote..mpaka kampata Chato....angeanza na bibi ake kwanza....hahaha
 
Hapa kuna shida kubwa naiona kwa Dada yetu Mange Kimambi....
Naanza na fungua semi
....Dada Mange anamchukia Magufuli to the maximum

....Dada Mange anampenda Ali Kiba to the maximum
..................................
Funga semi
.....Dada Mange anaichukia CCM to the maximum + Serikali yake

.....Dada Mange anamchukia Diamond to the maximum
...................
Then what's happening now??
Mange na yeye kumpenda Magufuli au Kumchukia Kiba??
Kuddos Maisha....
Mange Hampendi alikiba kihivyo zaid anafanya vile kumkomoa Diamond pili mange kaweza kumdiss Wema sembuse huyo Ally
 
IMG-20180129-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom