Ali Kiba amtembelea mama mzazi wa Rais Magufuli nyumbani kwake wilaya ya Chato

Ali Kiba amtembelea mama mzazi wa Rais Magufuli nyumbani kwake wilaya ya Chato

Huyu anamatatizo ya akili

1. Anajikomba kuaanda mazingira 2020 upigaji debe jukwaani

2. Ana..ndoto kufanya hivyo kutampaisha

All in all this guy has mistaken completely with no sooner.... His success will drop drastically
 
Huyu anamatatizo ya akili

1. Anajikomba kuaanda mazingira 2020 upigaji debe jukwaani

2. Ana..ndoto kufanya hivyo kutampaisha

All in all this guy has mistaken completely with no sooner.... His success will drop drastically
Una chuki binafsi wewe kuna mambo mengine hupaswi kuona wivu kwani kumsalimu mtu ni kosa?
 
Hizi tunaziita "shobo dundo"...Kule kwao kigoma kwani hakuna wagonjwa wa kuwaona?
 
Huyu anamatatizo ya akili

1. Anajikomba kuaanda mazingira 2020 upigaji debe jukwaani

2. Ana..ndoto kufanya hivyo kutampaisha

All in all this guy has mistaken completely with no sooner.... His success will drop drastically

Wivu wa kike huu
Kusalimu nako kuna shida?
 
Hizi tunaziita "shobo dundo"...Kule kwao kigoma kwani hakuna wagonjwa wa kuwaona?

Kumbe ili taifa Lina ukanda na ukabila
Unataka kuniambia wagonjwa hospital za dar watembelea na wazaramo,Dodoma watembelewe na wagogo
Hahaha acha mihemuko mkuu
Wenzako walienda kwenye Mishe za kutafuta pia wakaona ni vyema kuwaona wagonjwa kwenye hiyo hospitali kumbuka hao ni wasanii wanafanya kazi na jamii
 
Record zinaonesha kuwa wasanii wote waliotumika kisiasa waliishia kupotea kwny ssnaa haraka sana!
 
Back
Top Bottom