Inahusiana vipi?huyo dogo mpk hapo alipo anatumia jina la kakake kuishi mjini.Alikiba ni mbinafsi huyo... kashindwa kumuiniua hata mdogo wake abdul kiba ...
Alikiba mkwere tena duuh!!!!!Inahusiana vipi?huyo dogo mpk hapo alipo anatumia jina la kakake kuishi mjini.
JK na kiba wanafanana kweli si kidogo na wote wakware.
Unachuki balaaAlikiba ni mbinafsi huyo... kashindwa kumuiniua hata mdogo wake abdul kiba ...
Nimekua nikimfananisha Ali kiba kimuonekano na haiba ya mheshimiwa Sana jakaya kikwete, kiasi cha kuona kua Kama aanaonekana kama ni Mwanae wa kumzaa.
Nilimuangalia kwenye wimbo WA Aje akicheza. Na nikaona footage moja JK aki dance na msanii WA kike kwenye hafla fulani alipokua madarakani.
Zote wakiwa wamevaa vazi LA suti.
Naona kuna vitu wanafanana Sana.
Ni hayo tu
Sijui Kama yupo yeyote mwenye muono Kama wangu?
Nawasilisha..
Umeandika nini sasa jombaaUsimfananidhe na jk...
Mbon povu tena nje ya madaAlikiba ni mbinafsi huyo... kashindwa kumuiniua hata mdogo wake abdul kiba ...
Tusomee kwa sauti ulichoandikaUsimfananidhe na jk...
Kama Alli Kiba unamfananisha na Bushman , Je Usher Raymond na Bushmen utawaongeleaje?View attachment 598806 sio kweli
Ngereja yule mwizi au unaongelea Ngereja yule mbuge wa Sengerema?Kama na JK unasema wana fanana je na Ngereja utasemaje?