Ali kiba anavyofanana na Jakaya Kikwete

Ali kiba anavyofanana na Jakaya Kikwete

Ali kiba anafanana na jk....kupata vichekesho kama hivi andika ujumbe mfupi wa maneno kwenda kariakoo
 
Nimekua nikimfananisha Ali kiba kimuonekano na haiba ya mheshimiwa Sana jakaya kikwete, kiasi cha kuona kua Kama aanaonekana kama ni Mwanae wa kumzaa.

Nilimuangalia kwenye wimbo WA Aje akicheza. Na nikaona footage moja JK aki dance na msanii WA kike kwenye hafla fulani alipokua madarakani.
Zote wakiwa wamevaa vazi LA suti.

Naona kuna vitu wanafanana Sana.
Ni hayo tu
Sijui Kama yupo yeyote mwenye muono Kama wangu?

Nawasilisha..

Naona unamfananisha Luis Suarez wa Uruguay na Malimi Busungu wa Tanzania.
 
Ngoja nikusaidie kuweka picha waliyopiga pamoja ili binadamu wanaokusoma wajiridhishe uyasemayo...
images

images

AIRTEL%2BTANZANIA%2B%252813%2529.JPG


Kazi ni kwao...
wewe picha unazitoaga WAP? nimecheka sana
 
Naona unamfananisha Luis Suarez wa Uruguay na Malimi Busungu wa Tanzania.
Kuna siku Prezzo aliambiwa name Presenter kua anafanana name BirdMan wa USA. Akakataa katakata akidai Birdman ndiye anayefanana naye. Sio yeye anafanana name birdman.[emoji23]

Kuna watu ukiwafananisha, inakua Kama unawalazimisha wengine waamini kua wanatabia na maisha sawa kumbe ni mfanano tu. Japo tabia zinaweza zisifanane.

Kwa mfano ni kweli hawa wamakonde harmorapa na harmonize wanafanana. ukweli huu mchungu huu. Hauepukiki labda akafanye plastic surgery.

Pia harmorapa anafanana na Jengua.

Barak Obama alifanana na shetani mmoja kwenye filamu ya Passion of Christ.

Kufanana ni kufanana tu. Hakuepukiki
 
Kuna siku Prezzo aliambiwa name Presenter kua anafanana name BirdMan wa USA. Akakataa katakata akidai Birdman ndiye anayefanana naye. Sio yeye anafanana name birdman.[emoji23]

Kuna watu ukiwafananisha, inakua Kama unawalazimisha wengine waamini kua wanatabia na maisha sawa kumbe ni mfanano tu. Japo tabia zinaweza zisifanane.

Kwa mfano ni kweli hawa wamakonde harmorapa na harmonize wanafanana. ukweli huu mchungu huu. Hauepukiki labda akafanye plastic surgery.

Pia harmorapa anafanana na Jengua.

Barak Obama alifanana na shetani mmoja kwenye filamu ya Passion of Christ.

Kufanana ni kufanana tu. Hakuepukiki

Kwahiyo kumbe inawezekana hata Wewe ukawa unafanana na Hayati Remmy Mtoro Ongalla?
 
Nasikia miaka ya nyuma Jakaya aliwahi kuishi Kariakoo. Kama ni hivyo Jakaya itabidi anunue RAV 4 tu na tena atoe laki 5 kwa wiki maana hakuna namna!
 
Naona Hallelujah imewafanya watu wachanganyikiwe adi wana compare vitu vsvo a uhusiano
 
Back
Top Bottom