Truths
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,494
- 1,504
Nimekua nikimfananisha Ali kiba kimuonekano na haiba ya mheshimiwa sana Jakaya Kikwete, kiasi cha kuona kua kama aanaonekana kama ni Mwanae wa kumzaa.
Nilimuangalia kwenye wimbo wa 'aje' akicheza. Na nikaona footage moja JK aki dance na msanii wa kike kwenye hafla fulani alipokua madarakani.
zote wakiwa wamevaa vazi la suti.
Naona kuna vitu wanafanana Sana.
Ni hayo tu
Sijui Kama yupo yeyote mwenye muono Kama wangu?
Nawasilisha..
Nilimuangalia kwenye wimbo wa 'aje' akicheza. Na nikaona footage moja JK aki dance na msanii wa kike kwenye hafla fulani alipokua madarakani.
zote wakiwa wamevaa vazi la suti.
Naona kuna vitu wanafanana Sana.
Ni hayo tu
Sijui Kama yupo yeyote mwenye muono Kama wangu?
Nawasilisha..