soAlikiba kutosalimia mtu siwezi kushangaa ni msanii mwenye kibri na dharau sana....
mkuu ni mdaku sna [emoji102]Majirani wa msanii Ali Kiba huko Tabata wamesema msanii huyo anaishi karibu nao lakini hawamuoni kwa kuwa kila akipita amefunga vioo tinted na wala hasalimii
Wamesema wanahisi kuwa anajificha ndio maana amekuwa kifanya hivyo, wamekuwa wakiona magari ya aina tofauti tofauti yakiingia anapokaa wala hawajui gari lake ni lipi..ila wamemsifu kwa muziki mzuri
kujua ukweliWe ulitakaje...??
Unahitaji nikununulie?Leo umekosa pesa ya viroba nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ushambenga huuAlikiba kutosalimia mtu siwezi kushangaa ni msanii mwenye kibri na dharau sana....
kumsalimia kila mtu mtaani sometimes ni utahiraAlikiba kutosalimia mtu siwezi kushangaa ni msanii mwenye kibri na dharau sana....
Ukijibiwa na mm unijuzeanakaa tabata gani mkuu?
Kweli maisha magumu yaani mtoto wa kiume unamuonea wivu mwanaume mwenzio kula ugali wa bure kwao aiseee Magufuli inabidi alegeze kidogoKwahiyo kaacha kula ugali wa shikamoo pale Kkoo?
Ana miaka 10 kwenye muziki...hao wenye tabia unazozitaka wamemkuta na kumuacha sasa sijui hizo tabia unazotaka zina faida gani kwa msanii?!Alikiba kutosalimia mtu siwezi kushangaa ni msanii mwenye kibri na dharau sana....