Ali Kiba anavyoishi mtaani kwao: Majirani wasema haongei na anajificha

Ali Kiba anavyoishi mtaani kwao: Majirani wasema haongei na anajificha

safi sana alikiba haiwezekani msanii wakimataifa uanze kuonekanika hovyo hovyo eti kisa majirani kama wanataka kukuona wakufuate kwenye show zako au wakucheki instagram au you tube na hiyo ndio maana halisi ya kuwa star
 
Majirani wa msanii Ali Kiba huko Tabata wamesema msanii huyo anaishi karibu nao lakini hawamuoni kwa kuwa kila akipita amefunga vioo tinted na wala hasalimii
Wamesema wanahisi kuwa anajificha ndio maana amekuwa kifanya hivyo, wamekuwa wakiona magari ya aina tofauti tofauti yakiingia anapokaa wala hawajui gari lake ni lipi..ila wamemsifu kwa muziki mzuri

mkuu ni mdaku sna [emoji102]
 
Husda tu! Na Mwenyezi atazidi kumuepusha zidi ya mabaya yote Siku zote yamuepuke In Sha Allah! Maana hapo Mahasidi wanatamani yamkute ili waanze kusema ooh hasalimii Watu sijui hivi na hivi! Hasidi hakosi sababu!
 
Sasa wewe ulitakaje?

Awe anashinda nao kwenye vijiwe vya kahawa?!
 
Alikiba kutosalimia mtu siwezi kushangaa ni msanii mwenye kibri na dharau sana....
Ana miaka 10 kwenye muziki...hao wenye tabia unazozitaka wamemkuta na kumuacha sasa sijui hizo tabia unazotaka zina faida gani kwa msanii?!
 
Back
Top Bottom