Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anagawa mbegu eeeh haya
DNA test mwisho wa ubishi.Habari wadau,
Msanii Ali Kiba ameongeza mtoto wa tano kwa mama tofauti. Mzazi mwenzie huyo kwa sasa (single mother) ni mkazi wa Mombasa na anadai alipewa ujauzito kipindi Ali Kiba anapiga show pwani hiyo.
Dada huyo akadai kuwa baada ya kujifungua alimtafuta mzazi mwenzie ambaye ni Ali Kiba lakini hakufanikiwa.
Ali Kiba baada ya kuulizwa alimumunya mumunya maneno bila kutoa jibu la maana zaidi ya kusema kupima damu (DNA).
Dah!!!Umenikumbusha Banza dakika za mwishoni alikuwa anatia sana huruma sasa sijui hawa vijana huwa wanajifanya hawaioni hii mifano.Inaonyesha jinsi gani anaweka rehani afya yake,na AIDS yote hii anapiga kavu kavu?Yatamkuta ya kina Banza stone .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu nae kama Rashidi Matumla tu ,Kiba akifikisha miaka 40 watoto 15 , very primitive kama bushman aliyefanana nae
Hawa wasanii sijui huwa WBC zao hazina receptor ya yule mdudu, hawapati ngoma kabisa yani, wapuuzi wanatamba tu peku peku wkt sie tukizingua mara moja pressure muda wote anyway sijui may be wana ngwengwe wapuuzi hawa.Habari wadau,
Msanii Ali Kiba ameongeza mtoto wa tano kwa mama tofauti. Mzazi mwenzie huyo kwa sasa (single mother) ni mkazi wa Mombasa na anadai alipewa ujauzito kipindi Ali Kiba anapiga show pwani hiyo.
Dada huyo akadai kuwa baada ya kujifungua alimtafuta mzazi mwenzie ambaye ni Ali Kiba lakini hakufanikiwa.
Ali Kiba baada ya kuulizwa alimumunya mumunya maneno bila kutoa jibu la maana zaidi ya kusema kupima damu (DNA).
Kuna sehemu umeona nimesema roho inaniuma .. Au nawe umekurupukia wapi?King lazima uwe na watoto wengi
kwa hiyo roho inakuuma?!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]kiba anazaaa bwanaa yule n mwanaume unafikir n nyinyi hamzai yy anazaa bwanaa
King Kiba anauwezo wa kuzalisha kama Gwajima.
mwanaume kuzaa bwana kiba anazaaamwanaume kuzaa bwanaa.. in gwaji voice
Sasa unapomshauri mwanaume mwenzio aache kuzini na kuzaa ikiwa ujawahi hata kumpa hela ya unga unakuwa na maana gani?!Kuna sehemu umeona nimesema roho inaniuma .. Au nawe umekurupukia wapi?
mwanaume kuzaa bwana kiba anazaaa
Ooooohooooo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]