brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,287
[emoji23] [emoji23] [emoji23] watu mna manenoHongera Kiba kwa
1. kutekeleza kauli ya Rais ya kufyatua tu.
2. kutekeleza kauli ya Tanzania ya viwanda maana hapo tayari una kiwanda kimoja ..(rejea kauli ya vyerehani 4 kiwanda kimoja ) kwa hapo unabaki na mmoja wa salio kwaajili ya kumtuma uzi na vitambaa.