Tetesi: Ali Kiba aongeza single mother, demu amkimbia Dar baada ya kukwepa majukumu

Huyu nae kama Rashidi Matumla tu ,Kiba akifikisha miaka 40 watoto 15 , very primitive kama bushman aliyefanana nae
 
DNA test mwisho wa ubishi.
 
Hawa wasanii sijui huwa WBC zao hazina receptor ya yule mdudu, hawapati ngoma kabisa yani, wapuuzi wanatamba tu peku peku wkt sie tukizingua mara moja pressure muda wote anyway sijui may be wana ngwengwe wapuuzi hawa.
 
Kuna sehemu umeona nimesema roho inaniuma .. Au nawe umekurupukia wapi?
Sasa unapomshauri mwanaume mwenzio aache kuzini na kuzaa ikiwa ujawahi hata kumpa hela ya unga unakuwa na maana gani?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…