Ha ha ha ha, u've made my day!watu wanatamani simu zao zivunjike screen ili mradi wasione picha za King akiwa na tuzo zake Za kimataifa.
Hizi Tuzo wakipata wao sawa ila akipata Ali wanasema anapita njia za Dimond.
Wamesahau Dimond alipita njia za Kina Blue,Jumbe,Chaz baba,Kanumba,TID kwa Wema Sepetu na
Amepita njia iliyopita watoto watatu kwa Zari ila wapo kimyaaaaa.
Guneni had mjambe bt that is kiba..Hizi tuzo zingine hizi mhhhh!
Hanaga shida hiyo kiba na ndo maana hapokelewi airport kwa mbwembweKwahiyo mnataka tumpongeze..??
Endeleeni kugunaDuh Tuzo nyingine buana .....mhhhh
haya hongera yake.
No show off.Hongera yake kijana,tuzo za huyu kijana huwa hawaendi kuzipokea kama yule mwenzake ambavyo hufanya?
Kwa hiyo mwaka huu hajagombea au?...ukishinda hutakiwi kugombea tena eti?..KAPIGWA na king mnatafuta pa kutokea keeeeeenge weusi.Kuweka Record sawa hizi tuzo diamond alishinda mwaka jana
Kifupi ni kwamba kiba anapita alipopita diamond platnumz kama kwa jokate
View attachment 438513
Anavyomkimbia king mchezo nn hahahaaaa KING akikutana nae tuuu anamnyooosha puuumbav.tuzo hazikuagi na mvuto kama diamond hayupo kama hizi eatv awards na ukitokea tuzo ni za uchochoro kama hizi sijui instagram awards D ndo hata hatakagi kujipa promo ....
Tuzo bila participation ya diamond zinakuwa hazina mvuto