Ali Kiba ashinda tuzo za NAFCA na The Nol

Ali Kiba ashinda tuzo za NAFCA na The Nol

Hongera bro japokuwa baadhi yao bado wanakubeza ila usijali hao tunawajua coz washachambuliwa na bwana netanyahu
 
wengine wanasema tuzo za vichochoroni, wengine wanasema chibu kachukua mwaka jana.. doh! kweli mondi aliimba binadamu wabaya
 
Alikiba ameshinda vipengele viwili kwenye tuzo za heshima kubwa za The Nollywood & African Film Critics (NAFCA) ambazo hutolewa nchini Marekani.
 

Attachments

  • kiba2.jpg
    kiba2.jpg
    9.3 KB · Views: 329
Back
Top Bottom