Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi

Mmiliki wa hii nyumba ni yule mchumba wake King Alikiba na chanzo cha kufukuzwa kwenye hiyo nyumba ni Alikiba kuonekana na Jokate na kusemekana wana uhusiano!

hayo ndio madhara ya umariyoo...hichi kizazi cha chipsi ni sheeda.
 
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Ajabu kweli

Kumbe MFALME hana Nyumba?

CC........Siwataji...manake wanaweza wakanirarua rarua....ni mafundi wa matusi haoooooooooooooooo
 
Sio hana nyumba lkn ktk nyumba aliokuwa akiishi ndio sio yake,, na alishawah kuitole ufafanuz kipind cha nyuma
 
Salaam,wadau natoa rai kwa wadau wote wa hili jukwaa haijalishi wewe ni team Kiba au Team Mond.

Tumchangie ili aweze kukamiliaha mjengo wake au aweze kupata nyumba nyingine ya kuishi,hii ni kutokana na manyanyaso anayo yapata ya kufukuzwa kwenye nyumba anayo ishi sasa.

Kiba ni star mkubwa sana hapa nchini anastahiri kupewa heshima ya makazi bora.

Utaratibu wa mchango nawasiliana na menejas wa Kiba ili waweze kuratibu mchakato mzima wa jinsi ya kupokea michango hiyo.

kwa kuanzia mimi natoa laki moja na nusu.

karibuni watanzia wazalendo.
 
Huyu Goigoi wanamwita MFALME

MFALME hana nyumba?

MFALME anafukuzwa anarudi kwa mama yake?

MFALME anashindwa hata kwenda kupanga chumba kimoja Tandale?

Inabidi ifikie wakati wasanii wetu wajitambue.

How Comes ukakae kwenye nyumba ya Mwanamke?...Mi siwezi hata kwa dawa.

Nachangia Laki 3..... Moderator Count it
 
Last edited by a moderator:
Nachangia mawazo !
Nyumba kwanza ufalme baada kutengeneza Kasri lako!
 
Kwa kua king kapata emergency zingetumika zile pesa alizochangiwa baba chibu....
upendo daima:spy:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…