Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mfalme atabaki anamiliki roho tu...Sasa hivi amecha kufanya daladala tour ana shughulikia swala la Nyumba.... na kwa sasa karudi kwa kwao na yule dada ana mpango wakuja kumpora vitu vingine alivyo mpa...! Kuna mpango wa kuyamaliza lakini sijui kama hitafanikiwa labda aachane na kidoti!
Unataka uthibitisho upi zaidi, ndo hivo king sahivi maji ya shingo....kuna mdau kashauri asiitwe king hadi apate nyumbaNdio nasubili hivyo naogopa kushushuliwa kama Martha Mlata alivyoumbuliwa na Sugu, stress za kuachwa zinamsumbuwa.
Sasa hivi amecha kufanya daladala tour ana shughulikia swala la Nyumba.... na kwa sasa karudi kwa kwao na yule dada ana mpango wakuja kumpora vitu vingine alivyo mpa...! Kuna mpango wa kuyamaliza lakini sijui kama hitafanikiwa labda aachane na kidoti!
Hii ni aibu kwa msanii mkubwa kama King kiba kurudisha mpira kwa kipa (kurudi kukaa kwa mama ake).. nitachangia laki 2
Naskia karudi home kula ugali wa shkamoo
Nasema nawe #kirohombayahahahahahaha!
akome mwana fulani,ona uso ulivo mbonyoka!
Natoa 7500/= kustiri aibu kwa R.Kelly!dah! inasikitisha sana! pole yake king R.Kelly ntatoa laki na nusu
Kaa chonjo video ya cheketua ipo tayari....Kaeni chonjo wimbo mpya wa mondi unakaribia kutoka. Unaitwa SINGAPORE!
Kaa chonjo video ya cheketua ipo tayari....
Kidoti kamponza, sahivi king maji yapo shingoni....crown inapwelepweta
Tunachojua ni kuwa tuna vote kwa Davido hadi mpate kifafa
Sasa hivi amecha kufanya daladala tour ana shughulikia swala la Nyumba.... na kwa sasa karudi kwa kwao na yule dada ana mpango wakuja kumpora vitu vingine alivyo mpa...! Kuna mpango wa kuyamaliza lakini sijui kama hitafanikiwa labda aachane na kidoti!
Ha ha ha crown haikai kichwani, king afukuzwa palace....Unajuaga kunichekesha we mtu! Crown inampelepweta
Nna Imani sana na chibu katika hizo category tatu lazma tu atafanya kweliVote kwani nini bwana! Sie tupo tunavote for the baddest chibu.
Ale bata wakati analala kwa mama, labda useme yupo anakula mayai ya kwalenyie hpa bishaneni mara ya demu wake or ya frank mwisho wa cku yy ndiyo ajuaye ukweli nyie mtaishia kurukaruka hmu yy saizi anakula zake bta huko hta wacwac hana hya kazi kwenu
Ile daladala tour nilikuwa najiuliza Diamond angezurura vile mtaani tungekosa hata sehemu za kupita.