tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Haaaaaaaa kwikwiiiii mkuu unanichekesha saaana
Bado haijathibitishwa kuwa hyo nyumba ni ya huyo mwanamke au lah, ila kitendo cha kupanga na kudanganya kuwa mjengo ni wake ni fedheha na aibu tosha, ametuaibisha team kiba, mimi nashindwa ata kumtetea
Lukelo sakafu atakua nayo....mi namba nlipoteza nlirenew line
Haaaaaaaaa binamu amewafedhehesha team yake
+Duh noma kweli! kweli! mshakaji wangu, kwa hiyo sasa hivi ambasada and his royal family sijui wanaishi wapi!
Haaaaaaaaa binamu amewafedhehesha team yake
Ha ha ha tuzo zitakaa mbele, begi/zubeda nyumaNimejitolea kumbebea vi2 vya hata kma anahamia dodoma kirikuu itamtosha
hivi Jokate si ana contract ya 1 bn sijui ile ya kutangaza mananihii ya makampuni ya watu??Kwenye ule uzi kuhusu mchumba wa Alikiba nilisema Jokate atamponza sasa yameanza kutimia! Na hiyo haitoshi yule dada lazima aje kuanzisha mtiti hapa nchini na Jokate atafute pa kukimbilia!
Labda ni nyumba nyingine ya MarianaIsije ikawa hata huo mjengo anasimamia wa mtu!
Chimbeni mashimo muweke sura, ha ha ha sura znaekwa shimoni kama magimbi vileNasikia karudi kariakoo, yani kiba nimekulaani wewe, umetuaibisha sana team yako, sijui tunazificha wapi sura zetu, looh uongo umeanza lin
MImi kwenye upumbavu sinaga team kwa kweli, unafiki siuwezagi, watu tumechamba king wetu ana jumba la mil 900 kunduchi beach leo hii tunaambiwa kafukuzwa karudi kariakoo, fedheha gani hii? HUyo kiba atulie na akubali domo kampiga bao basi, maana kutokujikubali nako ni shida na mzigo sana, mi kanikera, nilikuwa namuona matured kumbe bado ana utoto.
Akazane kufanya kazi kwa bidii tu ipo siku atakuwa juu ila sio kwa kutudanganya mashabiki zake
mtafuteni kwenye matatuu[/QUOTalii
aliingia kwenye matatuu niliyokuwamo jana mara acheke mara sijui atoe tano mara sjui namba ya simu sasa nikajiuliza kwan msanii kupanda matatuu ni ajabu mbna tonny blair alikuwa akienda kazin kwa baiskel?....niliuchuna sana sikutaka kumwangalia
Hahaha ile idea ya kushukuru watu kwa kupanda daladala sijui nani kamshauri kwa kukurupuka huyu king noma. Mashabiki wanashukuriwa kwa Kibao kipya kikali sio kupanda daladala kutoa tano na kucheka cheka tu.
Ile hela alokusanya ampe kiba akapange hata geto la buku tenHaaaaaaaa Matola ilibidi aanza kumchangia King... Hahaaa
Tatizo lake ndani ya mwaka mzima anatoa nyimbo moja tu,wacha wampige gepu wenzake.
Yaani we unaamini hiyo nyumba ya mwanamke? Hiyo nyumba frank kaanza kuijenga miaka ya 2000 wkt yupo clouds. ....tumefanya sana bbq hapo. ...waulize wasanii wote wakubwa hapo bongo pamoja na watangazaji wa clouds kama unawajua watakwambia nyumba ya nani. ......ningeweka picha lkn hii thread sio ya mshkaji (frank)
Labda ni nyumba nyingine ya Mariana
Anakaa kwa muda tu wakati anajipanga pa kuhamia kama ni kwa mheshimiwa mbunge au kwa kidotiMhh mbelikwe hapo atashikwa uchawi tu.
Mi hoja yangu ni kuwa nyumba ni ya Frank. ....frank namjua kitambo na tupo wote UK. ...toka anajenga hiyo nyumba mpk next month anakuja bongo kuikarabati
Lile gorofa sio lake?